Natafuta mwanaume ambae atakuja kuwa baba watoto

Natafuta mwanaume ambae atakuja kuwa baba watoto

Habari zenu wadau nimekuja kwenu mara nyingine rafiki nimepata sasa natafuta mwanaume ambae atakua baba wa famiilia ntampenda na kumlinda,sifa zangu umri 25,mkristo,kazi nafanya kazi ya kufulia watu nguo majumbani kwao.Mwanaume ninae mtaka awe na nia ya kuoa na mwenye mapenzi ya dhati anipende kama anavyo wapenda ndugu zake wa kike,sitaki mwanaume mwenye mfumo dume daima
mengine kuhusu mimi tafadhari in box
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
...........................................................................................................................................
nitafute kwa namba 0755855237
 
Ulijuaje Chumvi ya Evelyn, yaani utakuta tumejieleza kama tuna andika wosia wa marehemu aliekuwa mtu wa watu..
Ha ha ha ha ha hadi zile id za mafichoni zinakuja, mwingine anacreate hapa hapa id anakuja lol
 
Back
Top Bottom