Natafuta mwanaume ambae atakuja kuwa baba watoto

Khaa, umeanza kwa kiki.., ngoja waje lakini waweza kunipm kwa maujanja zaidi kama hutajali
 

Mimi ni mkristo nina mfumo jike, Nawapenda sana ndugu zangu wa kiume. Sema ni vigumu nibaki na wewe tuuu eti nisikutafutie mpinzani wako..!!! Hapo nitakuwa sichochei maendeleo ya ndani. Ni lazima niwe na mwingine nje ili ufanye bidii ya kuniridhisha zaidi nikupe namba one. Lakini pia ungeweka picha yako ingependeza zaidi. Na uweke picha halisi isiyo na make up katu....!!!!
 
Naomba uje unifulie nguo dada halafu tutajua la kufanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…