Natafuta mwanaume baadae awe mume wangu

Natafuta mwanaume baadae awe mume wangu

Natumaini wote wazima
Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa

Awe muislam(muhim saaaana)
Miaka 27-36
Elimu Degree
Awe anajishughulisha angalau
Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake bac Awe tayar kubadilika kimavazi maana napenda mume wangu awe smart saaana


Sifa zangu
Muislam
Miaka ni kati ya 24-27
Elimu, Degree(Sheria


NB:
1.Tafadhali hakikisha una sifa zilizotajwa hapo juu haswa dini maana sitaweza kubadili niliyonayo na ukijiona umezi 36 wala usijisumbue

Karibun PM mume wangu mtarajiwa
Weka picha ya uso na mkia,nina sifa zote
 
Uhuru wa kujieleza... Umeitumia haki yako vizuri
 
Mi mkristo, niko tayari kuslimu ila unikubalie kuoa na wake wadogo wawili baadae. Nina miaka 30.
 
Natumaini wote wazima
Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa

Awe muislam(muhim saaaana)
Miaka 27-36
Elimu Degree
Awe anajishughulisha angalau
Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake bac Awe tayar kubadilika kimavazi maana napenda mume wangu awe smart saaana


Sifa zangu
Muislam
Miaka ni kati ya 24-27
Elimu, Degree(Sheria


NB:
1.Tafadhali hakikisha una sifa zilizotajwa hapo juu haswa dini maana sitaweza kubadili niliyonayo na ukijiona umezi 36 wala usijisumbue

Karibun PM mume wangu mtarajiwa
Nitasilimu mimi
 
Degree siku hizi nayo ina funga ndoa[emoji28][emoji28][emoji28] ndomana wanaume siku hizi mapenzi yamehamia nchi za jirani
 
fursa hii imenipita kwa kigezo cha Elimu.

Ngoja nisubiri mwingine!
 
Degree ina uhusiano gani na mahusiano ... unanifanya nikumbuke maneno ya Trump [emoji16][emoji16]
 
Itabid ufungue playstore um download.... maana hata wewe hujajielezea ulivyo!?? Unataja sifa unazopenda na hautaj sifa ulizo nazo!?? Funguka
 
Natumaini wote wazima
Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa

Awe muislam(muhim saaaana)
Miaka 27-36
Elimu Degree
Awe anajishughulisha angalau
Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake bac Awe tayar kubadilika kimavazi maana napenda mume wangu awe smart saaana


Sifa zangu
Muislam
Miaka ni kati ya 24-27
Elimu, Degree(Sheria


NB:
1.Tafadhali hakikisha una sifa zilizotajwa hapo juu haswa dini maana sitaweza kubadili niliyonayo na ukijiona umezi 36 wala usijisumbue

Karibun PM mume wangu mtarajiwa
Nipo hapa
 
Dhahili wewe ni Muslim fake, ndoa na vigezo wapi na wapi, Omba tu umpata aliye mwema na mbadilishe wewe kumpeleka hayo uyatakayo wewe.
Inawezekana
 
Natumaini wote wazima
Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa

Awe muislam(muhim saaaana)
Miaka 27-36
Elimu Degree
Awe anajishughulisha angalau
Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake bac Awe tayar kubadilika kimavazi maana napenda mume wangu awe smart saaana


Sifa zangu
Muislam
Miaka ni kati ya 24-27
Elimu, Degree(Sheria


NB:
1.Tafadhali hakikisha una sifa zilizotajwa hapo juu haswa dini maana sitaweza kubadili niliyonayo na ukijiona umezi 36 wala usijisumbue

Karibun PM mume wangu mtarajiwa
Masharti yote hayo we ni Malaika au una nini cha ziada kuweka masharti yote hayo?
 
Mngekuwa mnaleta na sifa zenu kuwa una nini na nini na unaweka na picha yako ili mtu anapokuwa anahitaji unakuwa anakufahamu sasa wewe masharti yote hayo unaweza kuta hata ni bibi kizee unatafuta Kibenten
 
Back
Top Bottom