Natafuta mwanaume baadae awe mume wangu

Weka picha ya uso na mkia,nina sifa zote
 
Elimu ya dini ya kiislamu ndiyo itamuwezesha kuingiza kipato cha kulea familia.
Dini ni chanzo cha umasikini kwa wajinga kama wewe
saanaa....na ni maskini kweli......
 
Muislamu awe hajaoa miaka 27?? Lbda mke wa pili
 
Uhuru wa kujieleza... Umeitumia haki yako vizuri
 
Mi mkristo, niko tayari kuslimu ila unikubalie kuoa na wake wadogo wawili baadae. Nina miaka 30.
 
Nitasilimu mimi
 
Degree siku hizi nayo ina funga ndoa[emoji28][emoji28][emoji28] ndomana wanaume siku hizi mapenzi yamehamia nchi za jirani
 
fursa hii imenipita kwa kigezo cha Elimu.

Ngoja nisubiri mwingine!
 
Degree ina uhusiano gani na mahusiano ... unanifanya nikumbuke maneno ya Trump [emoji16][emoji16]
 
Itabid ufungue playstore um download.... maana hata wewe hujajielezea ulivyo!?? Unataja sifa unazopenda na hautaj sifa ulizo nazo!?? Funguka
 
Nipo hapa
 
Dhahili wewe ni Muslim fake, ndoa na vigezo wapi na wapi, Omba tu umpata aliye mwema na mbadilishe wewe kumpeleka hayo uyatakayo wewe.
Inawezekana
 
Masharti yote hayo we ni Malaika au una nini cha ziada kuweka masharti yote hayo?
 
Mngekuwa mnaleta na sifa zenu kuwa una nini na nini na unaweka na picha yako ili mtu anapokuwa anahitaji unakuwa anakufahamu sasa wewe masharti yote hayo unaweza kuta hata ni bibi kizee unatafuta Kibenten
 
Nna vigezo vyote ila sharti langu ni moja tu njoo PM nkwambie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…