Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Unahisi ni kwann unatakiwa akujibu swali/maswali yako????.Mama yako wa Kambo alikuambukiza kivipi? Mlikuwa mnasagana? Alikukata na kitu cha ncha kali chenye HIV+? AU Ulishare Kitu Chenye Ncha kali? Ebu Fafanua hili.
kwa uchuro wa JF. Usishangae hao + walitaka tu kumchora.Yaan watu n -be wanajipeleka kwa +ve na wakijua kabisa??!!! Watu wamekata tamaa kweli na maisha duuuuh
Sent using Jamii Forums mobile app
Hi guys ni matumaini yangu mko poa
Nimerudi tena hapa love connect,nataka kushare na wengi au wachache wenye kupenda maisha ya wengine
Kwa kipindi chote tokea nitoe tangazo hapa.Nimekuwa nikipata connection za watu wengi ambao wako -ve na ambao wako +ve
Nashukuru Mungu nimeweza kujisimamia,na kusimamia.Kuna wanaume walikuja kwa njia mbali mbali nili deal nao kwa namna ya wanavyokuja,wengine tuliishia kuchat tu maana aliekua anania alikua na subira na nilichukua takribani miezi 3 mpaka kuja kuonana
Wengi waliishia njiani,nilifanikiwa kupata wanaume 4 walio serious kwa dhamira zao lakini wawili walikua wana influence ya familia hawataki mkristo na mmoja hatukufanikisha wazazi wake walihitaji mwanamke wa kabila yake mmoja alisisitiza kuishi bila kuzaa maana alikua na watoto wawili.
Nilifanikiwa kupata wanaume 3 ambao walikuwa -ve na walikua tayari tuishi nilidhani ni uwongo na kujihakikishia tulienda kupima na nilijiridhisha walikua salama lakini kama awali nilitangulia nisingependa mtu aje kulia kwa ajili yangu hata kama aliamua yeye hivyo sikuwa na sababu ya kuendeleza mahusiano.
Pia nilipata wanaume 2 hawa walikua +ve ila hawakua tayari kushiriki mapenzi safe ili kutozalisha maambukizi mapya hivyo pia ilibidi tuishie tulipoishia nilichogundua watu wengi wanatatizo na watu wengi wamekata tamaa wengi wanasambaza virusi kwa makusudi inahitaji akili sana kupambanua mambo.
Kwangu mimi nimejifunza mengi maana nimejionea mengi lakini bado nadhani ninasafari ndefu ya kukamilisha ndoto zangu so nahitaji mtu wa kunyanyuka nae katika hali zote.
Kwa wale wenye tatizo kama yangu jitahidi kufanya selection at least upate mtu ambae anauelewa kuhusu VVU na awe na future bila kuangalia hayo unaweza kuishia kupata mambukizi mampya na lifetime stress wengi wetu tunakufa kwa stess na sio kirusi so watch out
Na wale mlio salama nawakumbusha play safe unaweza kuwa positive muda wowote onyesha upendo kwa victims muombe mungu sana
Mimi sikuzaliwa na ukimwi niliambukizwa na mama wa kambo kwa makusudi lakini nimesamehe na maisha yanaendelea na sihitaji kumuambukiza yeyote.
Asanteni
Lilikuwa bonge la interview!!!.Hi guys ni matumaini yangu mko poa
Nimerudi tena hapa love connect,nataka kushare na wengi au wachache wenye kupenda maisha ya wengine
Kwa kipindi chote tokea nitoe tangazo hapa.Nimekuwa nikipata connection za watu wengi ambao wako -ve na ambao wako +ve
Nashukuru Mungu nimeweza kujisimamia,na kusimamia.Kuna wanaume walikuja kwa njia mbali mbali nili deal nao kwa namna ya wanavyokuja,wengine tuliishia kuchat tu maana aliekua anania alikua na subira na nilichukua takribani miezi 3 mpaka kuja kuonana
Wengi waliishia njiani,nilifanikiwa kupata wanaume 4 walio serious kwa dhamira zao lakini wawili walikua wana influence ya familia hawataki mkristo na mmoja hatukufanikisha wazazi wake walihitaji mwanamke wa kabila yake mmoja alisisitiza kuishi bila kuzaa maana alikua na watoto wawili.
Nilifanikiwa kupata wanaume 3 ambao walikuwa -ve na walikua tayari tuishi nilidhani ni uwongo na kujihakikishia tulienda kupima na nilijiridhisha walikua salama lakini kama awali nilitangulia nisingependa mtu aje kulia kwa ajili yangu hata kama aliamua yeye hivyo sikuwa na sababu ya kuendeleza mahusiano.
Pia nilipata wanaume 2 hawa walikua +ve ila hawakua tayari kushiriki mapenzi safe ili kutozalisha maambukizi mapya hivyo pia ilibidi tuishie tulipoishia nilichogundua watu wengi wanatatizo na watu wengi wamekata tamaa wengi wanasambaza virusi kwa makusudi inahitaji akili sana kupambanua mambo.
Kwangu mimi nimejifunza mengi maana nimejionea mengi lakini bado nadhani ninasafari ndefu ya kukamilisha ndoto zangu so nahitaji mtu wa kunyanyuka nae katika hali zote.
Kwa wale wenye tatizo kama yangu jitahidi kufanya selection at least upate mtu ambae anauelewa kuhusu VVU na awe na future bila kuangalia hayo unaweza kuishia kupata mambukizi mampya na lifetime stress wengi wetu tunakufa kwa stess na sio kirusi so watch out
Na wale mlio salama nawakumbusha play safe unaweza kuwa positive muda wowote onyesha upendo kwa victims muombe mungu sana
Mimi sikuzaliwa na ukimwi niliambukizwa na mama wa kambo kwa makusudi lakini nimesamehe na maisha yanaendelea na sihitaji kumuambukiza yeyote.
Asanteni
Kijana VVU ipo, hivyo linda afya yako...Njia pekee ya kukwepa Ngoma ni kugoma kupima
Yes, but mmmmmmmmmhhh!!!!!!Ni kwakua HIV iko controlled, ukiweza kui controll huambukizi wengine.
asante..barikiwa sanaWewe ni mtu maalum sana. Mungu akujaalie hitaji la moyo wako. You have my prayers dada
Sent using Jamii Forums mobile app
hauwezi kuelewa...jaribu kuvaa viatu vyanguPole dada, swali langu lisichukuliwe kama unyanyapaa tafadhali nataka kujua tu...hivi ni kwa nini mtu asiye na maambukizi awe tayari kuishi na mtu mwenye maambukizi? Ujue sielewi yani
yes...mimi ni mfano hai...my viro load are undetected..kiasi kwamba nilipima juzi kazi dispensary wakaniambia sina virusi...nikachukua majibu huku nacheka...nadhani na kipimo chao kilikua kibovu..ndio maana wanasema test 3 times...if nimeenda na mtu si anajua niko okay...complicatedNi kwakua HIV iko controlled, ukiweza kui controll huambukizi wengine.
Nimechokaaa[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji119][emoji119][emoji119][emoji24][emoji24] Mbona ngoma itaua wengi jamanii...yes...mimi ni mfano hai...my viro load are undetected..kiasi kwamba nilipima juzi kazi dispensary wakaniambia sina virusi...nikachukua majibu huku nacheka...nadhani na kipimo chao kilikua kibovu..ndio maana wanasema test 3 times...if nimeenda na mtu si anajua niko okay...complicated
wapo humu wengine ..walikuja nilipowatosa wanabadili tu account..sasa mtu atabadili account ngapi kuweni na amani mim once am done...imekwisha..ninaplatform nyingi ambazo hata hao watu wapo na ninawaona mishe mishe zao but once ninapokua huko i do my business..na ni wachangiaji wazuri sana..dunia sasa ni kijiji huezi jificha kiivyo..just be real muogope mungu..do good ukiwa mtu mdaya utakwama tu mahaliJf kuna watu vichwa vigumu jamani nawaza hao wawili ulio waonea huruma watakuws tu wanachama wa ufipa.Ahsante kwa kuwapuuzia.
Nimechokaaa[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji119][emoji119][emoji119][emoji24][emoji24] Mbona ngoma itaua wengi jamanii...
Nimesoma hapa hadi soda imenishida aisee..Ila natamani tufahamiane kiurafiki itatoshawadau..nikitaka kuelezea kila kitu sitafanya hata kazi zingine...najua wengine wanakejeli ila najua wapo wanaojifunza..niko kwa ajili ya kuwaelimisha wanaohitaji kujifunza kuhusu HIV..Kuna mdau anauliza ilikuaje nikaambukizwa na mama wa kambo...ni hivi nilianza kulelewa na mama wa kambo nikiwa dogo sana kama age of 6...mbaya zaidi alikua hatupendi,and baba hakua anatusikiliza that time even nyumba haikua na amani so baba hakuwa mtu wa kukaa home..ilienda mama akapata maambukizi hiyo ndio ilikua mbaya baba na mama hawakua na maelewano kabisa..nilikua na wadogo zangu 2 ambao walizaliwa negative..kutokana na migogoro ya home baba hakuwa akimuelewa mama..ilifikia hatua mbaya mama akawa anaumwa sisi ndio tunamuuhudumia..kuna siku alimwambia baba kama anamtenga atakufa na watoto wote...so alifanikiwa hilo alituchanja akatuambukiza...kwa akili za kitoto hatukujua kinachoendelea...alipofariki wadogo zangu walianza kuugua...tukapimwa and walikua positive..the story began...kuikweli hua sitamani kuikubuka hii story but nimeshare mjifunze...hapo nimeifaya fupi tu...kwenye family kuna issue nyingi ndugu zangu...kila wakati nawaambia ukimuona mtu positive msidhani kaikota kwa kupenda..No
jitathimini kama wewe ndio mimi unafanyaje?
umezaliwa mzima..leo niko hivi sio kwa kupenda nimeambukizawa makusudi...
mama yangu mzazi anaumia kiasi gani?
sometimes unakata tamaa..ila ukiangalia maisha ni yako unaamua kupambana
natamani nipate mtu atakae nionyesha nini maana ya mapenzi ninapokata tamaa..nataani nipate mtoto labda atanifariji napata na nani wengi ni waongo na wamekata tamaa..
ambao wanahitaji kuwa na mimi nawaonea huruma..
someone help..naandika hayo nikiwa na maauvu makubwa...yananiumiza
Anaona bora kuishi na h.i.v.lakini na upendo Wa kweli kuliko kuishi bila h.I.v hali hamna amani..huyu Yeye anahitaji mwanaume Wa kudumu mmoja tu na sio mchezaji kama hao wazima..unaweza kufa kwa presha ya mapenzi hali mwenye h.I.v ila anaamani ya maisha akadunda miaka 20Yaan watu n -be wanajipeleka kwa +ve na wakijua kabisa??!!! Watu wamekata tamaa kweli na maisha duuuuh
Sent using Jamii Forums mobile app
akadunda nini? teh teh nimecheka sansAnaona bora kuishi na h.i.v.lakini na upendo Wa kweli kuliko kuishi bila h.I.v hali hamna amani..huyu Yeye anahitaji mwanaume Wa kudumu mmoja tu na sio mchezaji kama hao wazima..unaweza kufa kwa presha ya mapenzi hali mwenye h.I.v ila anaamani ya maisha akadunda miaka 20