toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Ni kwakua HIV iko controlled, ukiweza kui controll huambukizi wengine.
yes...mimi ni mfano hai...my viro load are undetected..kiasi kwamba nilipima juzi kazi dispensary wakaniambia sina virusi...nikachukua majibu huku nacheka...nadhani na kipimo chao kilikua kibovu..ndio maana wanasema test 3 times...if nimeenda na mtu si anajua niko okay...complicated
Pole dada, swali langu lisichukuliwe kama unyanyapaa tafadhali nataka kujua tu...hivi ni kwa nini mtu asiye na maambukizi awe tayari kuishi na mtu mwenye maambukizi? Ujue sielewi yani
Moja ya wanawake ambao nikiingiaga jf nikiona ulichoandika huwa lazima nisome, you write alot of sensible stuffs, BRAVO...
Aliyesema huli kavu ni nani?Yaani nioe mke alafu nisile kavu? Inataka moyo
Ni kweli aisee huyo aliutafuta kwa umalaya wake tusimsingizie mama wa kamboHuyo mtoto wa Kambo kwani alibakwa? Si alipigwa mashine akijua anatembea na mchepuko wa mama wa kambo? Inabidi tuwe responsible kwa maamuzi yetu tusiwasingizie wengine.
Mwenyewe badala ya kunieoimisha kaishia kulalamikaWewe kama mimi Khantwe nashangaa sana kuona ambao hawajaathirika wakitaka kuwa na
walioathirika. Binadamu tunatofautiana sana. Yanini kuwa na mtu ambaye saa zote una hofu na mkisahau tu mara mmelana denda mh! Sielewi hata chembe binadamu wengine ni very courageous to take risk on their lives.
Ebwanaaa eeeh!yes...mimi ni mfano hai...my viro load are undetected..kiasi kwamba nilipima juzi kazi dispensary wakaniambia sina virusi...nikachukua majibu huku nacheka...nadhani na kipimo chao kilikua kibovu..ndio maana wanasema test 3 times...if nimeenda na mtu si anajua niko okay...complicated
Hii hutokea maaana kuna mama mmoja jirani yetu aliwaambukiza watoto wake wawili wa kike kwa njia hii hii ya kumuhudumia wakati wa ugonjwa. Ilikuja gundulika baada ya mama huyo kufariki.. ndipo binti mkubwa nae alianza kuugua na ikagundulika atakuwa aliupata kwa mama... walipo mchunguza na binti mdogo nae alikuwa na maambukizi. Binti mkubwa ameshafariki Ila mdogo walimuwahi kwa dawa.. maombi na Sasa ameolewa na anafamilia Ila status yake kwa Sasa kiafya siwezi ijua ni siri yake na mumewe.wadau..nikitaka kuelezea kila kitu sitafanya hata kazi zingine...najua wengine wanakejeli ila najua wapo wanaojifunza..niko kwa ajili ya kuwaelimisha wanaohitaji kujifunza kuhusu HIV..Kuna mdau anauliza ilikuaje nikaambukizwa na mama wa kambo...ni hivi nilianza kulelewa na mama wa kambo nikiwa dogo sana kama age of 6...mbaya zaidi alikua hatupendi,and baba hakua anatusikiliza that time even nyumba haikua na amani so baba hakuwa mtu wa kukaa home..ilienda mama akapata maambukizi hiyo ndio ilikua mbaya baba na mama hawakua na maelewano kabisa..nilikua na wadogo zangu 2 ambao walizaliwa negative..kutokana na migogoro ya home baba hakuwa akimuelewa mama..ilifikia hatua mbaya mama akawa anaumwa sisi ndio tunamuuhudumia..kuna siku alimwambia baba kama anamtenga atakufa na watoto wote...so alifanikiwa hilo alituchanja akatuambukiza...kwa akili za kitoto hatukujua kinachoendelea...alipofariki wadogo zangu walianza kuugua...tukapimwa and walikua positive..the story began...kuikweli hua sitamani kuikubuka hii story but nimeshare mjifunze...hapo nimeifaya fupi tu...kwenye family kuna issue nyingi ndugu zangu...kila wakati nawaambia ukimuona mtu positive msidhani kaikota kwa kupenda..No
jitathimini kama wewe ndio mimi unafanyaje?
umezaliwa mzima..leo niko hivi sio kwa kupenda nimeambukizawa makusudi...
mama yangu mzazi anaumia kiasi gani?
sometimes unakata tamaa..ila ukiangalia maisha ni yako unaamua kupambana
natamani nipate mtu atakae nionyesha nini maana ya mapenzi ninapokata tamaa..nataani nipate mtoto labda atanifariji napata na nani wengi ni waongo na wamekata tamaa..
ambao wanahitaji kuwa na mimi nawaonea huruma..
someone help..naandika hayo nikiwa na maauvu makubwa...yananiumiza
Nikujibu si kileiman maana mimi si dakatari kama Sky Eclat ! Experience yangu hasa kwetu wanaume, akimpenda binti anatakani amle kwanza na amalizie kwa kukoja ndani! Hapo akili ndipo zinarejea. Hapo majuto ndipo yanapotamalaki. Kichwa cha chini kikisimama ni balaa hasa kwa vijana na anayeweza kusaidia katika hali hiyo ni mwanamke. Jiulize Kwanini bado kuna vidume vinammendea uwoya pamoja na madai kuwa anao? Hiyo ya kidaktari ati akiwa katika madawa ni upuuzi na majuto ya baadaye. Huwezi kuweka kichwa chako katika mdomo wa mamba ukiwa na akili timilifu. Nimempenda sana mtoa mada kuwa hawezi kutembea na -ve. Tuache utani ukimwi tishioPole dada, swali langu lisichukuliwe kama unyanyapaa tafadhali nataka kujua tu...hivi ni kwa nini mtu asiye na maambukizi awe tayari kuishi na mtu mwenye maambukizi? Ujue sielewi yani
Nikujibu si kileiman maana mimi si dakatari kama Sky Eclat ! Experience yangu hasa kwetu wanaume, akimpenda binti anatakani amle kwanza na amalizie kwa kukoja ndani! Hapo akili ndipo zinarejea. Hapo majuto ndipo yanapotamalaki. Kichwa cha chini kikisimama ni balaa hasa kwa vijana na anayeweza kusaidia katika hali hiyo ni mwanamke. Jiulize Kwanini bado kuna vidume vinammendea uwoya pamoja na madai kuwa anao? Hiyo ya kidaktari ati akiwa katika madawa ni upuuzi na majuto ya baadaye. Huwezi kuweka kichwa chako katika mdomo wa mamba ukiwa na akili timilifu. Nimempenda sana mtoa mada kuwa hawezi kutembea na -ve. Tuache utani ukimwi tishio
Aisee kumbeNikujibu si kileiman maana mimi si dakatari kama Sky Eclat ! Experience yangu hasa kwetu wanaume, akimpenda binti anatakani amle kwanza na amalizie kwa kukoja ndani! Hapo akili ndipo zinarejea. Hapo majuto ndipo yanapotamalaki. Kichwa cha chini kikisimama ni balaa hasa kwa vijana na anayeweza kusaidia katika hali hiyo ni mwanamke. Jiulize Kwanini bado kuna vidume vinammendea uwoya pamoja na madai kuwa anao? Hiyo ya kidaktari ati akiwa katika madawa ni upuuzi na majuto ya baadaye. Huwezi kuweka kichwa chako katika mdomo wa mamba ukiwa na akili timilifu. Nimempenda sana mtoa mada kuwa hawezi kutembea na -ve. Tuache utani ukimwi tishio
Labda cjaelewa maana ya ngono zembeAliyesema huli kavu ni nani?
Ngono zembe is sleeping with every Mary and Rose without protectionLabda cjaelewa maana ya ngono zembe
Lakini Mimi nilikuwa nazungumzia kuishi na mke aliyekuwa affected alafu nisile kavu (wewe ukasema inawezekana ukiacha ngono zembe) sijui kama unanielewa. Hakuna mahali nilipozungumzia kubadilisha wanawake.Ngono zembe is sleeping with every Mary and Rose without protection
Ok it means your wife is already immune suppressed unatakiwa kumlinda usimletee magonjwa. Wewe na yeye mnaweza kwenda kavu tu bila shidaLakini Mimi nilikuwa nazungumzia kuishi na mke aliyekuwa affected alafu nisile kavu (wewe ukasema inawezekana ukiacha ngono zembe) sijui kama unanielewa. Hakuna mahali nilipozungumzia kubadilisha wanawake.
Ndugu yangu wanaume ni wa kutuhurumia ndo maana hadi kesho sheria ya kujamiina bado inatutafuna tuAisee kumbe
sky Eclat..ebu nielekeze mtu akipima na kuambua ana virusi 45 na CD4 850...tafsiri yake ni yupo suppressed yaan undetected or inakuwaje...au mtu akipiwa huwa mnamwambia idadi ya virusi alivyokuwa navyo? na kama unamwambia nitolee mfano mnamwambia kwa lugha gani ya kuelewekaOk it means your wife is already immune suppressed unatakiwa kumlinda usimletee magonjwa. Wewe na yeye mnaweza kwenda kavu tu bila shida
Moja ya wanawake ambao nikiingiaga jf nikiona ulichoandika huwa lazima nisome, you write alot of sensible stuffs, BRAVO...
She is the real deal, humble, down to earth, well educated etc. Mie kinachonifurahisha sana ni participation yake kule siasani na kusimamia haki huku akipinga maovu na dhuluma mbali mbali.