Nikujibu si kileiman maana mimi si dakatari kama
Sky Eclat ! Experience yangu hasa kwetu wanaume, akimpenda binti anatakani amle kwanza na amalizie kwa kukoja ndani! Hapo akili ndipo zinarejea. Hapo majuto ndipo yanapotamalaki. Kichwa cha chini kikisimama ni balaa hasa kwa vijana na anayeweza kusaidia katika hali hiyo ni mwanamke. Jiulize Kwanini bado kuna vidume vinammendea uwoya pamoja na madai kuwa anao? Hiyo ya kidaktari ati akiwa katika madawa ni upuuzi na majuto ya baadaye. Huwezi kuweka kichwa chako katika mdomo wa mamba ukiwa na akili timilifu. Nimempenda sana mtoa mada kuwa hawezi kutembea na -ve. Tuache utani ukimwi tishio