Natafuta mwanaume H.I.V Positive mrejesho

Natafuta mwanaume H.I.V Positive mrejesho

yes...mimi ni mfano hai...my viro load are undetected..kiasi kwamba nilipima juzi kazi dispensary wakaniambia sina virusi...nikachukua majibu huku nacheka...nadhani na kipimo chao kilikua kibovu..ndio maana wanasema test 3 times...if nimeenda na mtu si anajua niko okay...complicated

Sheesh, now this one is scary...undeveloped countries kuna inconsistency nyingi sana zinazolead to other problems, What if ingekuwa mara yako ya kwanza kwenda kupima na uneenda na mtu wako, mnaondoka mkijua mpo salama kumbe mmoja anao, daaah umenifundisha somo....
 
Wewe kama mimi Khantwe nashangaa sana kuona ambao hawajaathirika wakitaka kuwa na
walioathirika. Binadamu tunatofautiana sana. Yanini kuwa na mtu ambaye saa zote una hofu na mkisahau tu mara mmelana denda mh! Sielewi hata chembe binadamu wengine ni very courageous to take risk on their lives.

Pole dada, swali langu lisichukuliwe kama unyanyapaa tafadhali nataka kujua tu...hivi ni kwa nini mtu asiye na maambukizi awe tayari kuishi na mtu mwenye maambukizi? Ujue sielewi yani
 
She is the real deal, humble, down to earth, well educated etc. Mie kinachonifurahisha sana ni participation yake kule siasani na kusimamia haki huku akipinga maovu na dhuluma mbali mbali.

Moja ya wanawake ambao nikiingiaga jf nikiona ulichoandika huwa lazima nisome, you write alot of sensible stuffs, BRAVO...
 
Wewe kama mimi Khantwe nashangaa sana kuona ambao hawajaathirika wakitaka kuwa na
walioathirika. Binadamu tunatofautiana sana. Yanini kuwa na mtu ambaye saa zote una hofu na mkisahau tu mara mmelana denda mh! Sielewi hata chembe binadamu wengine ni very courageous to take risk on their lives.
Mwenyewe badala ya kunieoimisha kaishia kulalamika
 
  • Thanks
Reactions: BAK
yes...mimi ni mfano hai...my viro load are undetected..kiasi kwamba nilipima juzi kazi dispensary wakaniambia sina virusi...nikachukua majibu huku nacheka...nadhani na kipimo chao kilikua kibovu..ndio maana wanasema test 3 times...if nimeenda na mtu si anajua niko okay...complicated
Ebwanaaa eeeh!
 
wadau..nikitaka kuelezea kila kitu sitafanya hata kazi zingine...najua wengine wanakejeli ila najua wapo wanaojifunza..niko kwa ajili ya kuwaelimisha wanaohitaji kujifunza kuhusu HIV..Kuna mdau anauliza ilikuaje nikaambukizwa na mama wa kambo...ni hivi nilianza kulelewa na mama wa kambo nikiwa dogo sana kama age of 6...mbaya zaidi alikua hatupendi,and baba hakua anatusikiliza that time even nyumba haikua na amani so baba hakuwa mtu wa kukaa home..ilienda mama akapata maambukizi hiyo ndio ilikua mbaya baba na mama hawakua na maelewano kabisa..nilikua na wadogo zangu 2 ambao walizaliwa negative..kutokana na migogoro ya home baba hakuwa akimuelewa mama..ilifikia hatua mbaya mama akawa anaumwa sisi ndio tunamuuhudumia..kuna siku alimwambia baba kama anamtenga atakufa na watoto wote...so alifanikiwa hilo alituchanja akatuambukiza...kwa akili za kitoto hatukujua kinachoendelea...alipofariki wadogo zangu walianza kuugua...tukapimwa and walikua positive..the story began...kuikweli hua sitamani kuikubuka hii story but nimeshare mjifunze...hapo nimeifaya fupi tu...kwenye family kuna issue nyingi ndugu zangu...kila wakati nawaambia ukimuona mtu positive msidhani kaikota kwa kupenda..No

jitathimini kama wewe ndio mimi unafanyaje?

umezaliwa mzima..leo niko hivi sio kwa kupenda nimeambukizawa makusudi...

mama yangu mzazi anaumia kiasi gani?

sometimes unakata tamaa..ila ukiangalia maisha ni yako unaamua kupambana

natamani nipate mtu atakae nionyesha nini maana ya mapenzi ninapokata tamaa..nataani nipate mtoto labda atanifariji napata na nani wengi ni waongo na wamekata tamaa..

ambao wanahitaji kuwa na mimi nawaonea huruma..

someone help..naandika hayo nikiwa na maauvu makubwa...yananiumiza
Hii hutokea maaana kuna mama mmoja jirani yetu aliwaambukiza watoto wake wawili wa kike kwa njia hii hii ya kumuhudumia wakati wa ugonjwa. Ilikuja gundulika baada ya mama huyo kufariki.. ndipo binti mkubwa nae alianza kuugua na ikagundulika atakuwa aliupata kwa mama... walipo mchunguza na binti mdogo nae alikuwa na maambukizi. Binti mkubwa ameshafariki Ila mdogo walimuwahi kwa dawa.. maombi na Sasa ameolewa na anafamilia Ila status yake kwa Sasa kiafya siwezi ijua ni siri yake na mumewe.
 
Pole dada, swali langu lisichukuliwe kama unyanyapaa tafadhali nataka kujua tu...hivi ni kwa nini mtu asiye na maambukizi awe tayari kuishi na mtu mwenye maambukizi? Ujue sielewi yani
Nikujibu si kileiman maana mimi si dakatari kama Sky Eclat ! Experience yangu hasa kwetu wanaume, akimpenda binti anatakani amle kwanza na amalizie kwa kukoja ndani! Hapo akili ndipo zinarejea. Hapo majuto ndipo yanapotamalaki. Kichwa cha chini kikisimama ni balaa hasa kwa vijana na anayeweza kusaidia katika hali hiyo ni mwanamke. Jiulize Kwanini bado kuna vidume vinammendea uwoya pamoja na madai kuwa anao? Hiyo ya kidaktari ati akiwa katika madawa ni upuuzi na majuto ya baadaye. Huwezi kuweka kichwa chako katika mdomo wa mamba ukiwa na akili timilifu. Nimempenda sana mtoa mada kuwa hawezi kutembea na -ve. Tuache utani ukimwi tishio
 
Nikujibu si kileiman maana mimi si dakatari kama Sky Eclat ! Experience yangu hasa kwetu wanaume, akimpenda binti anatakani amle kwanza na amalizie kwa kukoja ndani! Hapo akili ndipo zinarejea. Hapo majuto ndipo yanapotamalaki. Kichwa cha chini kikisimama ni balaa hasa kwa vijana na anayeweza kusaidia katika hali hiyo ni mwanamke. Jiulize Kwanini bado kuna vidume vinammendea uwoya pamoja na madai kuwa anao? Hiyo ya kidaktari ati akiwa katika madawa ni upuuzi na majuto ya baadaye. Huwezi kuweka kichwa chako katika mdomo wa mamba ukiwa na akili timilifu. Nimempenda sana mtoa mada kuwa hawezi kutembea na -ve. Tuache utani ukimwi tishio



mh uwoya tena
 
Nikujibu si kileiman maana mimi si dakatari kama Sky Eclat ! Experience yangu hasa kwetu wanaume, akimpenda binti anatakani amle kwanza na amalizie kwa kukoja ndani! Hapo akili ndipo zinarejea. Hapo majuto ndipo yanapotamalaki. Kichwa cha chini kikisimama ni balaa hasa kwa vijana na anayeweza kusaidia katika hali hiyo ni mwanamke. Jiulize Kwanini bado kuna vidume vinammendea uwoya pamoja na madai kuwa anao? Hiyo ya kidaktari ati akiwa katika madawa ni upuuzi na majuto ya baadaye. Huwezi kuweka kichwa chako katika mdomo wa mamba ukiwa na akili timilifu. Nimempenda sana mtoa mada kuwa hawezi kutembea na -ve. Tuache utani ukimwi tishio
Aisee kumbe
 
Ngono zembe is sleeping with every Mary and Rose without protection
Lakini Mimi nilikuwa nazungumzia kuishi na mke aliyekuwa affected alafu nisile kavu (wewe ukasema inawezekana ukiacha ngono zembe) sijui kama unanielewa. Hakuna mahali nilipozungumzia kubadilisha wanawake.
 
Lakini Mimi nilikuwa nazungumzia kuishi na mke aliyekuwa affected alafu nisile kavu (wewe ukasema inawezekana ukiacha ngono zembe) sijui kama unanielewa. Hakuna mahali nilipozungumzia kubadilisha wanawake.
Ok it means your wife is already immune suppressed unatakiwa kumlinda usimletee magonjwa. Wewe na yeye mnaweza kwenda kavu tu bila shida
 
Ok it means your wife is already immune suppressed unatakiwa kumlinda usimletee magonjwa. Wewe na yeye mnaweza kwenda kavu tu bila shida
sky Eclat..ebu nielekeze mtu akipima na kuambua ana virusi 45 na CD4 850...tafsiri yake ni yupo suppressed yaan undetected or inakuwaje...au mtu akipiwa huwa mnamwambia idadi ya virusi alivyokuwa navyo? na kama unamwambia nitolee mfano mnamwambia kwa lugha gani ya kueleweka
 
She is the real deal, humble, down to earth, well educated etc. Mie kinachonifurahisha sana ni participation yake kule siasani na kusimamia haki huku akipinga maovu na dhuluma mbali mbali.

Yes she is....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom