Natafuta mwanaume H.I.V Positive mrejesho

Kati ya hao wanaume watatu waliokuja kwako ambao ni -ve mmojawapo ni mimi!
 
thanks dear...hivi niwaulize watu wa mungu..bado kuna watu wanaamini unaweza kulogewa virusi vya ukimwi...kwa macho yangu nimekutana na familia moja..yani mtu anaumwa anakataa kwenda hospital,akalazimishwa akapelekwa kwa nguvu na akapimwa na kugundulika kuwa ni positive then ndugu waliompeleka hospitali hawaamini kama ndugu yao anaweza kuwa positive..wanahangaika kumpeleka kwa mganga..kweli jamani?

kiukweli elimu bado inahitajika sana..kwa matiki hii watu wengi watapotea just like that.

#be safe,no matter ur positive or negative
Pole sana mpendwa Mungu akupe haja ya moyo wako na azidi kukupigania.
 
Naweza kusema your the best, kongole kwako.πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Hongera sana kwa ujasiri ulio nao Mungu akupatie hitaji la moyo wako.
 
Dawa ipo nitafute
 
Kusoma Thread zako. Msomaji anaejielewa anajiweka ktk nafaci yako. Anaona kwa dhahiri moyo wako ulio jawa na ushujaaa.ila nafsi yako imekua dhaifu kwa maumivu ulioyapata... Nakusihi fanya maombi kwa wengi ili nafsi yako iwezeshwe na uendelee kuenshi na furaha.
 
Aseee nakuomba usikate tamaa ww bado ni mtu wa nguvu kabisa bado mungu anakupambania dada. Wapo negative lakin hawakutii maisha yako wewe
 
Nilidhani vile vipimo vina-check for antibodies na sio virusi vyenyewe, kwahiyo hata uwe na viral load ndogo kiasi gani bado kipimo kitaonyesha positive kwa sababu antibodies za HIV unazo ila viral load ipo chini. Hebu nieleweshe kidogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…