Natafuta mwanaume H.I.V Positive mrejesho

Natafuta mwanaume H.I.V Positive mrejesho

wadau..nikitaka kuelezea kila kitu sitafanya hata kazi zingine...najua wengine wanakejeli ila najua wapo wanaojifunza..niko kwa ajili ya kuwaelimisha wanaohitaji kujifunza kuhusu HIV..Kuna mdau anauliza ilikuaje nikaambukizwa na mama wa kambo...ni hivi nilianza kulelewa na mama wa kambo nikiwa dogo sana kama age of 6...mbaya zaidi alikua hatupendi,and baba hakua anatusikiliza that time even nyumba haikua na amani so baba hakuwa mtu wa kukaa home..ilienda mama akapata maambukizi hiyo ndio ilikua mbaya baba na mama hawakua na maelewano kabisa..nilikua na wadogo zangu 2 ambao walizaliwa negative..kutokana na migogoro ya home baba hakuwa akimuelewa mama..ilifikia hatua mbaya mama akawa anaumwa sisi ndio tunamuuhudumia..kuna siku alimwambia baba kama anamtenga atakufa na watoto wote...so alifanikiwa hilo alituchanja akatuambukiza...kwa akili za kitoto hatukujua kinachoendelea...alipofariki wadogo zangu walianza kuugua...tukapimwa and walikua positive..the story began...kuikweli hua sitamani kuikubuka hii story but nimeshare mjifunze...hapo nimeifaya fupi tu...kwenye family kuna issue nyingi ndugu zangu...kila wakati nawaambia ukimuona mtu positive msidhani kaikota kwa kupenda..No

jitathimini kama wewe ndio mimi unafanyaje?

umezaliwa mzima..leo niko hivi sio kwa kupenda nimeambukizawa makusudi...

mama yangu mzazi anaumia kiasi gani?

sometimes unakata tamaa..ila ukiangalia maisha ni yako unaamua kupambana

natamani nipate mtu atakae nionyesha nini maana ya mapenzi ninapokata tamaa..nataani nipate mtoto labda atanifariji napata na nani wengi ni waongo na wamekata tamaa..

ambao wanahitaji kuwa na mimi nawaonea huruma..

someone help..naandika hayo nikiwa na maauvu makubwa...yananiumiza
Mbona rahisi sana hii!
Pole sana ila utapata.Mungu akujaalie.
 
wadau..nikitaka kuelezea kila kitu sitafanya hata kazi zingine...najua wengine wanakejeli ila najua wapo wanaojifunza..niko kwa ajili ya kuwaelimisha wanaohitaji kujifunza kuhusu HIV..Kuna mdau anauliza ilikuaje nikaambukizwa na mama wa kambo...ni hivi nilianza kulelewa na mama wa kambo nikiwa dogo sana kama age of 6...mbaya zaidi alikua hatupendi,and baba hakua anatusikiliza that time even nyumba haikua na amani so baba hakuwa mtu wa kukaa home..ilienda mama akapata maambukizi hiyo ndio ilikua mbaya baba na mama hawakua na maelewano kabisa..nilikua na wadogo zangu 2 ambao walizaliwa negative..kutokana na migogoro ya home baba hakuwa akimuelewa mama..ilifikia hatua mbaya mama akawa anaumwa sisi ndio tunamuuhudumia..kuna siku alimwambia baba kama anamtenga atakufa na watoto wote...so alifanikiwa hilo alituchanja akatuambukiza...kwa akili za kitoto hatukujua kinachoendelea...alipofariki wadogo zangu walianza kuugua...tukapimwa and walikua positive..the story began...kuikweli hua sitamani kuikubuka hii story but nimeshare mjifunze...hapo nimeifaya fupi tu...kwenye family kuna issue nyingi ndugu zangu...kila wakati nawaambia ukimuona mtu positive msidhani kaikota kwa kupenda..No

jitathimini kama wewe ndio mimi unafanyaje?

umezaliwa mzima..leo niko hivi sio kwa kupenda nimeambukizawa makusudi...

mama yangu mzazi anaumia kiasi gani?

sometimes unakata tamaa..ila ukiangalia maisha ni yako unaamua kupambana

natamani nipate mtu atakae nionyesha nini maana ya mapenzi ninapokata tamaa..nataani nipate mtoto labda atanifariji napata na nani wengi ni waongo na wamekata tamaa..

ambao wanahitaji kuwa na mimi nawaonea huruma..

someone help..naandika hayo nikiwa na maauvu makubwa...yananiumiza
Ungekuwa na rafiki daktari ingekuwa rahisi zaidi.
 
wadau..nikitaka kuelezea kila kitu sitafanya hata kazi zingine...najua wengine wanakejeli ila najua wapo wanaojifunza..niko kwa ajili ya kuwaelimisha wanaohitaji kujifunza kuhusu HIV..Kuna mdau anauliza ilikuaje nikaambukizwa na mama wa kambo...ni hivi nilianza kulelewa na mama wa kambo nikiwa dogo sana kama age of 6...mbaya zaidi alikua hatupendi,and baba hakua anatusikiliza that time even nyumba haikua na amani so baba hakuwa mtu wa kukaa home..ilienda mama akapata maambukizi hiyo ndio ilikua mbaya baba na mama hawakua na maelewano kabisa..nilikua na wadogo zangu 2 ambao walizaliwa negative..kutokana na migogoro ya home baba hakuwa akimuelewa mama..ilifikia hatua mbaya mama akawa anaumwa sisi ndio tunamuuhudumia..kuna siku alimwambia baba kama anamtenga atakufa na watoto wote...so alifanikiwa hilo alituchanja akatuambukiza...kwa akili za kitoto hatukujua kinachoendelea...alipofariki wadogo zangu walianza kuugua...tukapimwa and walikua positive..the story began...kuikweli hua sitamani kuikubuka hii story but nimeshare mjifunze...hapo nimeifaya fupi tu...kwenye family kuna issue nyingi ndugu zangu...kila wakati nawaambia ukimuona mtu positive msidhani kaikota kwa kupenda..No

jitathimini kama wewe ndio mimi unafanyaje?

umezaliwa mzima..leo niko hivi sio kwa kupenda nimeambukizawa makusudi...

mama yangu mzazi anaumia kiasi gani?

sometimes unakata tamaa..ila ukiangalia maisha ni yako unaamua kupambana

natamani nipate mtu atakae nionyesha nini maana ya mapenzi ninapokata tamaa..nataani nipate mtoto labda atanifariji napata na nani wengi ni waongo na wamekata tamaa..

ambao wanahitaji kuwa na mimi nawaonea huruma..

someone help..naandika hayo nikiwa na maauvu makubwa...yananiumiza
Pole dia...Nashkru tu ushasamehe na unapambana na hali yako....nmekupenda sana hope tuchati tubadilishane Mawazo mana na Mimi na janga hilo ni girl pia nicheki kwa email..kidolechale@gmail.com
 
Hi guys ni matumaini yangu mko poa

Nimerudi tena hapa love connect,nataka kushare na wengi au wachache wenye kupenda maisha ya wengine

Kwa kipindi chote tokea nitoe tangazo hapa.Nimekuwa nikipata connection za watu wengi ambao wako -ve na ambao wako +ve

Nashukuru Mungu nimeweza kujisimamia,na kusimamia.Kuna wanaume walikuja kwa njia mbali mbali nili deal nao kwa namna ya wanavyokuja,wengine tuliishia kuchat tu maana aliekua anania alikua na subira na nilichukua takribani miezi 3 mpaka kuja kuonana

Wengi waliishia njiani,nilifanikiwa kupata wanaume 4 walio serious kwa dhamira zao lakini wawili walikua wana influence ya familia hawataki mkristo na mmoja hatukufanikisha wazazi wake walihitaji mwanamke wa kabila yake mmoja alisisitiza kuishi bila kuzaa maana alikua na watoto wawili.

Nilifanikiwa kupata wanaume 3 ambao walikuwa -ve na walikua tayari tuishi nilidhani ni uwongo na kujihakikishia tulienda kupima na nilijiridhisha walikua salama lakini kama awali nilitangulia nisingependa mtu aje kulia kwa ajili yangu hata kama aliamua yeye hivyo sikuwa na sababu ya kuendeleza mahusiano.

Pia nilipata wanaume 2 hawa walikua +ve ila hawakua tayari kushiriki mapenzi safe ili kutozalisha maambukizi mapya hivyo pia ilibidi tuishie tulipoishia nilichogundua watu wengi wanatatizo na watu wengi wamekata tamaa wengi wanasambaza virusi kwa makusudi inahitaji akili sana kupambanua mambo.

Kwangu mimi nimejifunza mengi maana nimejionea mengi lakini bado nadhani ninasafari ndefu ya kukamilisha ndoto zangu so nahitaji mtu wa kunyanyuka nae katika hali zote.

Kwa wale wenye tatizo kama yangu jitahidi kufanya selection at least upate mtu ambae anauelewa kuhusu VVU na awe na future bila kuangalia hayo unaweza kuishia kupata mambukizi mampya na lifetime stress wengi wetu tunakufa kwa stess na sio kirusi so watch out

Na wale mlio salama nawakumbusha play safe unaweza kuwa positive muda wowote onyesha upendo kwa victims muombe mungu sana

Mimi sikuzaliwa na ukimwi niliambukizwa na mama wa kambo kwa makusudi lakini nimesamehe na maisha yanaendelea na sihitaji kumuambukiza yeyote.

Asanteni
Naomba ufafanuzi hapo unaposema."Kupata maambukizi mapya" unamaanisha nini?
 
wadau..nikitaka kuelezea kila kitu sitafanya hata kazi zingine...najua wengine wanakejeli ila najua wapo wanaojifunza..niko kwa ajili ya kuwaelimisha wanaohitaji kujifunza kuhusu HIV..Kuna mdau anauliza ilikuaje nikaambukizwa na mama wa kambo...ni hivi nilianza kulelewa na mama wa kambo nikiwa dogo sana kama age of 6...mbaya zaidi alikua hatupendi,and baba hakua anatusikiliza that time even nyumba haikua na amani so baba hakuwa mtu wa kukaa home..ilienda mama akapata maambukizi hiyo ndio ilikua mbaya baba na mama hawakua na maelewano kabisa..nilikua na wadogo zangu 2 ambao walizaliwa negative..kutokana na migogoro ya home baba hakuwa akimuelewa mama..ilifikia hatua mbaya mama akawa anaumwa sisi ndio tunamuuhudumia..kuna siku alimwambia baba kama anamtenga atakufa na watoto wote...so alifanikiwa hilo alituchanja akatuambukiza...kwa akili za kitoto hatukujua kinachoendelea...alipofariki wadogo zangu walianza kuugua...tukapimwa and walikua positive..the story began...kuikweli hua sitamani kuikubuka hii story but nimeshare mjifunze...hapo nimeifaya fupi tu...kwenye family kuna issue nyingi ndugu zangu...kila wakati nawaambia ukimuona mtu positive msidhani kaikota kwa kupenda..No

jitathimini kama wewe ndio mimi unafanyaje?

umezaliwa mzima..leo niko hivi sio kwa kupenda nimeambukizawa makusudi...

mama yangu mzazi anaumia kiasi gani?

sometimes unakata tamaa..ila ukiangalia maisha ni yako unaamua kupambana

natamani nipate mtu atakae nionyesha nini maana ya mapenzi ninapokata tamaa..nataani nipate mtoto labda atanifariji napata na nani wengi ni waongo na wamekata tamaa..

ambao wanahitaji kuwa na mimi nawaonea huruma..

someone help..naandika hayo nikiwa na maauvu makubwa...yananiumiza
Aisee, pole sana thebeliever .
Utapata mtu tuu dada yangu, usikate tamaa.Keep on believing.
 
Mungu akupatie hitaji lako, unaonekana mwema sana wewe.Pole sana, huyu mama alikuambukiza vipi?, kama hutajali kushare hapa.
 
Naomba ufafanuzi hapo unaposema."Kupata maambukizi mapya" unamaanisha nini?
okay...unapokua positive kuna idadi ya virus ambao uko nao..ndio maana wanakupa dawa ili kuwapunguza/kuwafifisha wanakua counted...ukiingia ndani sana wanasema unaweza ukawa na virus ambao ni jinsia moja kama ni male or female so mfano ukiwa nao wote means watakua wanazaliana...but ukiwa nao wa aina moja inamaana hawawezi kuzaliana..so madaktari hawawezi kukueleza yote but wanakuambia angalia usipate maambukizi mapya..means unaweza ukawa na virusi type moja wametulia hawazaliani ila ukiletewa aina ya pili means wataanza kuzaliana..so utakua kwenye risk sana..watu wengi unaowaona wanaweza kuwa na immunity nzuri hadi virus hawaonekani means dawa zimefanya kazi ya kufifisha wale virusi wako nao..so cell zingine zinakua active kuujenga mwili..tofauti na H.I.V virus zikiwa zinapambana na cell za mwili za kuujenga mwili hauwezi kukaa sawa ndio maana mtu anakua anadhoofika na kuumwa kila wakati
 
okay...unapokua positive kuna idadi ya virus ambao uko nao..ndio maana wanakupa dawa ili kuwapunguza/kuwafifisha wanakua counted...ukiingia ndani sana wanasema unaweza ukawa na virus ambao ni jinsia moja kama ni male or female so mfano ukiwa nao wote means watakua wanazaliana...but ukiwa nao wa aina moja inamaana hawawezi kuzaliana..so madaktari hawawezi kukueleza yote but wanakuambia angalia usipate maambukizi mapya..means unaweza ukawa na virusi type moja wametulia hawazaliani ila ukiletewa aina ya pili means wataanza kuzaliana..so utakua kwenye risk sana..watu wengi unaowaona wanaweza kuwa na immunity nzuri hadi virus hawaonekani means dawa zimefanya kazi ya kufifisha wale virusi wako nao..so cell zingine zinakua active kuujenga mwili..tofauti na H.I.V virus zikiwa zinapambana na cell za mwili za kuujenga mwili hauwezi kukaa sawa ndio maana mtu anakua anadhoofika na kuumwa kila wakati
Ahsante kwa ufafanuzi mzuri.
 
Hii hutokea maaana kuna mama mmoja jirani yetu aliwaambukiza watoto wake wawili wa kike kwa njia hii hii ya kumuhudumia wakati wa ugonjwa. Ilikuja gundulika baada ya mama huyo kufariki.. ndipo binti mkubwa nae alianza kuugua na ikagundulika atakuwa aliupata kwa mama... walipo mchunguza na binti mdogo nae alikuwa na maambukizi. Binti mkubwa ameshafariki Ila mdogo walimuwahi kwa dawa.. maombi na Sasa ameolewa na anafamilia Ila status yake kwa Sasa kiafya siwezi ijua ni siri yake na mumewe.
Day[emoji22][emoji22]
 
Hi guys ni matumaini yangu mko poa

Nimerudi tena hapa love connect,nataka kushare na wengi au wachache wenye kupenda maisha ya wengine

Kwa kipindi chote tokea nitoe tangazo hapa.Nimekuwa nikipata connection za watu wengi ambao wako -ve na ambao wako +ve

Nashukuru Mungu nimeweza kujisimamia,na kusimamia.Kuna wanaume walikuja kwa njia mbali mbali nili deal nao kwa namna ya wanavyokuja,wengine tuliishia kuchat tu maana aliekua anania alikua na subira na nilichukua takribani miezi 3 mpaka kuja kuonana

Wengi waliishia njiani,nilifanikiwa kupata wanaume 4 walio serious kwa dhamira zao lakini wawili walikua wana influence ya familia hawataki mkristo na mmoja hatukufanikisha wazazi wake walihitaji mwanamke wa kabila yake mmoja alisisitiza kuishi bila kuzaa maana alikua na watoto wawili.

Nilifanikiwa kupata wanaume 3 ambao walikuwa -ve na walikua tayari tuishi nilidhani ni uwongo na kujihakikishia tulienda kupima na nilijiridhisha walikua salama lakini kama awali nilitangulia nisingependa mtu aje kulia kwa ajili yangu hata kama aliamua yeye hivyo sikuwa na sababu ya kuendeleza mahusiano.

Pia nilipata wanaume 2 hawa walikua +ve ila hawakua tayari kushiriki mapenzi safe ili kutozalisha maambukizi mapya hivyo pia ilibidi tuishie tulipoishia nilichogundua watu wengi wanatatizo na watu wengi wamekata tamaa wengi wanasambaza virusi kwa makusudi inahitaji akili sana kupambanua mambo.

Kwangu mimi nimejifunza mengi maana nimejionea mengi lakini bado nadhani ninasafari ndefu ya kukamilisha ndoto zangu so nahitaji mtu wa kunyanyuka nae katika hali zote.

Kwa wale wenye tatizo kama yangu jitahidi kufanya selection at least upate mtu ambae anauelewa kuhusu VVU na awe na future bila kuangalia hayo unaweza kuishia kupata mambukizi mampya na lifetime stress wengi wetu tunakufa kwa stess na sio kirusi so watch out

Na wale mlio salama nawakumbusha play safe unaweza kuwa positive muda wowote onyesha upendo kwa victims muombe mungu sana

Mimi sikuzaliwa na ukimwi niliambukizwa na mama wa kambo kwa makusudi lakini nimesamehe na maisha yanaendelea na sihitaji kumuambukiza yeyote.

Asanteni
MUNGU akubariki,akupe haja ya moyo wako
 
Nimeumia sana.
Pole sana dada.

Kama wewe ni Mkristo WOKOVU ni muhimu sana. Ni PM tutiane moyo
Hi guys ni matumaini yangu mko poa

Nimerudi tena hapa love connect,nataka kushare na wengi au wachache wenye kupenda maisha ya wengine

Kwa kipindi chote tokea nitoe tangazo hapa.Nimekuwa nikipata connection za watu wengi ambao wako -ve na ambao wako +ve

Nashukuru Mungu nimeweza kujisimamia,na kusimamia.Kuna wanaume walikuja kwa njia mbali mbali nili deal nao kwa namna ya wanavyokuja,wengine tuliishia kuchat tu maana aliekua anania alikua na subira na nilichukua takribani miezi 3 mpaka kuja kuonana

Wengi waliishia njiani,nilifanikiwa kupata wanaume 4 walio serious kwa dhamira zao lakini wawili walikua wana influence ya familia hawataki mkristo na mmoja hatukufanikisha wazazi wake walihitaji mwanamke wa kabila yake mmoja alisisitiza kuishi bila kuzaa maana alikua na watoto wawili.

Nilifanikiwa kupata wanaume 3 ambao walikuwa -ve na walikua tayari tuishi nilidhani ni uwongo na kujihakikishia tulienda kupima na nilijiridhisha walikua salama lakini kama awali nilitangulia nisingependa mtu aje kulia kwa ajili yangu hata kama aliamua yeye hivyo sikuwa na sababu ya kuendeleza mahusiano.

Pia nilipata wanaume 2 hawa walikua +ve ila hawakua tayari kushiriki mapenzi safe ili kutozalisha maambukizi mapya hivyo pia ilibidi tuishie tulipoishia nilichogundua watu wengi wanatatizo na watu wengi wamekata tamaa wengi wanasambaza virusi kwa makusudi inahitaji akili sana kupambanua mambo.

Kwangu mimi nimejifunza mengi maana nimejionea mengi lakini bado nadhani ninasafari ndefu ya kukamilisha ndoto zangu so nahitaji mtu wa kunyanyuka nae katika hali zote.

Kwa wale wenye tatizo kama yangu jitahidi kufanya selection at least upate mtu ambae anauelewa kuhusu VVU na awe na future bila kuangalia hayo unaweza kuishia kupata mambukizi mampya na lifetime stress wengi wetu tunakufa kwa stess na sio kirusi so watch out

Na wale mlio salama nawakumbusha play safe unaweza kuwa positive muda wowote onyesha upendo kwa victims muombe mungu sana

Mimi sikuzaliwa na ukimwi niliambukizwa na mama wa kambo kwa makusudi lakini nimesamehe na maisha yanaendelea na sihitaji kumuambukiza yeyote.

Asanteni
 
Machoz yamentoka pole sn dada pole..mung awe pamoja nawe
wadau..nikitaka kuelezea kila kitu sitafanya hata kazi zingine...najua wengine wanakejeli ila najua wapo wanaojifunza..niko kwa ajili ya kuwaelimisha wanaohitaji kujifunza kuhusu HIV..Kuna mdau anauliza ilikuaje nikaambukizwa na mama wa kambo...ni hivi nilianza kulelewa na mama wa kambo nikiwa dogo sana kama age of 6...mbaya zaidi alikua hatupendi,and baba hakua anatusikiliza that time even nyumba haikua na amani so baba hakuwa mtu wa kukaa home..ilienda mama akapata maambukizi hiyo ndio ilikua mbaya baba na mama hawakua na maelewano kabisa..nilikua na wadogo zangu 2 ambao walizaliwa negative..kutokana na migogoro ya home baba hakuwa akimuelewa mama..ilifikia hatua mbaya mama akawa anaumwa sisi ndio tunamuuhudumia..kuna siku alimwambia baba kama anamtenga atakufa na watoto wote...so alifanikiwa hilo alituchanja akatuambukiza...kwa akili za kitoto hatukujua kinachoendelea...alipofariki wadogo zangu walianza kuugua...tukapimwa and walikua positive..the story began...kuikweli hua sitamani kuikubuka hii story but nimeshare mjifunze...hapo nimeifaya fupi tu...kwenye family kuna issue nyingi ndugu zangu...kila wakati nawaambia ukimuona mtu positive msidhani kaikota kwa kupenda..No

jitathimini kama wewe ndio mimi unafanyaje?

umezaliwa mzima..leo niko hivi sio kwa kupenda nimeambukizawa makusudi...

mama yangu mzazi anaumia kiasi gani?

sometimes unakata tamaa..ila ukiangalia maisha ni yako unaamua kupambana

natamani nipate mtu atakae nionyesha nini maana ya mapenzi ninapokata tamaa..nataani nipate mtoto labda atanifariji napata na nani wengi ni waongo na wamekata tamaa..

ambao wanahitaji kuwa na mimi nawaonea huruma..

someone help..naandika hayo nikiwa na maauvu makubwa...yananiumiza
 
Asijione yuko poa je kapima???
acha kejeli ngoma yaweza kumpata yeyote yule uwe unagonga au hugongi ....usijione upo bora zaidi na kuona kamwe ukimwi wameumbiwa wengine na wewe kamwe haitokaa itokeee kuupata ...ndugu kuwa makini na maneno yko

narudia tena acha kejeli ukimwi unaweza kumpata yeyote yule OMBA MUNGU TU AKUEPUSHIE NA JANGA KAMA HILO
 
Ukimwi hausababishwi kwa blood transfusion, your stress killed your cells!!
 
Back
Top Bottom