NATAFUTA MWANAUME HIV POSITIVE

NATAFUTA MWANAUME HIV POSITIVE

Nakuombea kwa mungu umpate mwenye status hiyo, endelea kua na moyo huo huo wa huruma dada, nimeo kua we ni smart na ni wife material kabisa , mungu akujalie
mchukue ww basi kama unataka wife material.. maana amekosa mzima kaamua atafute asie mzimaa....ko naww una nafasi et
 
mchukue ww basi kama unataka wife material.. maana amekosa mzima kaamua atafute asie mzimaa....ko naww una nafasi et
Ujue mkuu huyu kaamua kuwa Mstaarabu tofauti na wale wengine! Na huenda anachokisema kina ukweli Fulani! Kumbuka mm nilishawahi kutoa ushuhuda Wangu pale nilipokutana na binti mwenye vvu na alitaka kuniambukiza maksudi! Kwani nilitumia mpira lkn bht mbaya ulipasuka na kesho yake tulipoenda kupima alipatikana na vvu, nilienda angaza Mimi nikapewa dawa za kufifisha ukimwi alimaarufu kwa jina la PEP, sijui kirefu chake! Na baada ya hapo niliambiwa nikapime Mara baada ya kumaliza dozi yangu! Nilipomaliza nilirejea kweli japo nilikuwa na hofu sana! Bahati nzur majibu yalikuwa mazuri! Baada ya HAPO nimekuwa na desturi ya kupima,ni miezi Tisa tokea incident hiyo itokee!

Nataka kusema hivi huyu binti n mkweli na mungu amsaidie San kwani ukweli na upendo alionao umevuka mipaka!
 
Ujue mkuu huyu kaamua kuwa Mstaarabu tofauti na wale wengine! Na huenda anachokisema kina ukweli Fulani! Kumbuka mm nilishawahi kutoa ushuhuda Wangu pale nilipokutana na binti mwenye vvu na alitaka kuniambukiza maksudi! Kwani nilitumia mpira lkn bht mbaya ulipasuka na kesho yake tulipoenda kupima alipatikana na vvu, nilienda angaza Mimi nikapewa dawa za kufifisha ukimwi alimaarufu kwa jina la PEP, sijui kirefu chake! Na baada ya hapo niliambiwa nikapime Mara baada ya kumaliza dozi yangu! Nilipomaliza nilirejea kweli japo nilikuwa na hofu sana! Bahati nzur majibu yalikuwa mazuri! Baada ya HAPO nimekuwa na desturi ya kupima,ni miezi Tisa tokea incident hiyo itokee!

Nataka kusema hivi huyu binti n mkweli na mungu amsaidie San kwani ukweli na upendo alionao umevuka mipaka!
Mwambie...No one knows tomorrow, ni kumuomba mungu tu..hujafa hujaumbika kama haijakukuta huezi elewa, najua wapo wanaonielewa vizuri sana basi tu they cant write here.
 
Kwani hapo kituo unapochukulia dawa hujawaona vijana ukawaambia hili? Hebu anza na hao waathirika wenzio huenda ukapata.
 
Hi guys, hope wazima wote..mimi ni msichana 27years old.,am hiv +ve, independent

Naelewa changamoto iliyopo kwenye jamii kuhusiana na HIV so imekua vigumu kumpata mtu ambae ni +ve pia sababu imekua soo private, watu hwajioneshi kutokana na perception ya jamii, na nisingependa kumuambukiza mtu kwa kujua of which watu wengi wanafanya hivyo pia.

Now am loocking for a man ambae tunaweza kuwa friends na mungu akisaidia kuwa mke na mume baadae hope kutimiza ndoto za kimaisha pia.

Am in good condition, naelewa nini natakiwa kufanya as avictim, so ningependa ninaempata awe the same status, pia awe na malengo

Naamini being +ve sio mwisho..u can love and u can be loved too, mimi ni mkristo naamini mungu ni wetu sote, so na ambao ur safe please stay safe ukimwi upo.

Anyone interested anicheck PM.i will appreciate awe mkristo and around mwanza.

Thanks
Hallo Ni PM niko mwanza naeza kukusaidia
 
Hi guys, hope wazima wote..mimi ni msichana 27years old.,am hiv +ve, independent

Naelewa changamoto iliyopo kwenye jamii kuhusiana na HIV so imekua vigumu kumpata mtu ambae ni +ve pia sababu imekua soo private, watu hwajioneshi kutokana na perception ya jamii, na nisingependa kumuambukiza mtu kwa kujua of which watu wengi wanafanya hivyo pia.

Now am loocking for a man ambae tunaweza kuwa friends na mungu akisaidia kuwa mke na mume baadae hope kutimiza ndoto za kimaisha pia.

Am in good condition, naelewa nini natakiwa kufanya as avictim, so ningependa ninaempata awe the same status, pia awe na malengo

Naamini being +ve sio mwisho..u can love and u can be loved too, mimi ni mkristo naamini mungu ni wetu sote, so na ambao ur safe please stay safe ukimwi upo.

Anyone interested anicheck PM.i will appreciate awe mkristo and around mwanza.

Thanks
Unaweza ukatupa simulizi yako jinsi ilivyokua kama hutojali?
 
Back
Top Bottom