cheusimangalami
Member
- Apr 30, 2015
- 11
- 6
kwanza wanisamehe wote walioni"pm". mimi ni mgeni humu kumbe kuna sharti kua ili pm iwe active natakiwa atleast niwe na post 5, mimi sikulijua ilo kwaiyo nlipotaka kumjibu mtu wa kwanza tu aliye ni-pm ikagoma. naomba mnivumilie mpk kesho ntakuwa na uwezo wa kuwajibu pm nlizonitumia.
kwanza wanisamehe wote walioni"pm". mimi ni mgeni humu kumbe kuna sharti kua ili pm iwe active natakiwa atleast niwe na post 5, mimi sikulijua ilo kwaiyo nlipotaka kumjibu mtu wa kwanza tu aliye ni-pm ikagoma. naomba mnivumilie mpk kesho ntakuwa na uwezo wa kuwajibu pm nlizonitumia.
Ww unaonekana umeambiwa na wenzako kuwa kuwa mwana-jf then utapata mume.Dada ohooooo kuwa makini kuna matapeli humu wa mapenzi balaa,utatoa papuchi na ndoa ng'o!!
"SEMA HAPANA KWA CCM HAPO OCTOBER,2015"
Okay anza kuni PM mimi kwanza,Nina miaka 35,Form Six Div IV ya Mwanzo,Najiamini,Ni Dalali Kipato changu laki 5 mpaka 1m kwa mwezi.
Ww unaonekana umeambiwa na wenzako kuwa kuwa mwana-jf then utapata mume.Dada ohooooo kuwa makini kuna matapeli humu wa mapenzi balaa,utatoa papuchi na ndoa ng'o!!
"SEMA HAPANA KWA CCM HAPO OCTOBER,2015"
Miaka 38 je ? nije pm
Umejieleza vizuri ila umesahau dini!