cheusimangalami
Member
- Apr 30, 2015
- 11
- 6
Natafuta mwanaume, Mungu akipenda tuwe mume na mke.
Sifa;
-Ajiamini,
-Umri 28-35,
-Elimu kuanzia degree ya kwanza ila kama anajiamini hata form six inatosha.
-Awe amejiajiri au ameajiliwa.
-Dini awe mkristo.
Sifa zangu;
-Miaka 27, nina shahada ya kwanza.
-Mwajiriwa.
-Aliye tayari aje pm kwa mazungumzo zaidi.
Sifa;
-Ajiamini,
-Umri 28-35,
-Elimu kuanzia degree ya kwanza ila kama anajiamini hata form six inatosha.
-Awe amejiajiri au ameajiliwa.
-Dini awe mkristo.
Sifa zangu;
-Miaka 27, nina shahada ya kwanza.
-Mwajiriwa.
-Aliye tayari aje pm kwa mazungumzo zaidi.