Natafuta mwanaume ili aje awe mume

Ww unaonekana umeambiwa na wenzako kuwa kuwa mwana-jf then utapata mume.Dada ohooooo kuwa makini kuna matapeli humu wa mapenzi balaa,utatoa papuchi na ndoa ng'o!!


"SEMA HAPANA KWA CCM HAPO OCTOBER,2015"

Mkuu hawa madada wenyewe ni matapeli isome vizuri post yake kuu utajua tu kuwa hawana lolote
 
Mkuu hawa madada wenyewe ni matapeli isome vizuri post yake kuu utajua tu kuwa hawana lolote

Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake bwana DON'T JUDGE huenda ni kweli ma TP wapo na waungwana wapo pia.
 
Anza kuni pm wewe upate mume bora na mcha mungu hapa
 
Mie sijui ku pm. Labda wewe uni pm
 
Ww unaonekana umeambiwa na wenzako kuwa kuwa mwana-jf then utapata mume.Dada ohooooo kuwa makini kuna matapeli humu wa mapenzi balaa,utatoa papuchi na ndoa ng'o!!


"SEMA HAPANA KWA CCM HAPO OCTOBER,2015"



Halafu siyo vizuri kutupeperushiwa njiwa, asipochafuka atajifunzaje?
 
Menibidi kunyamaza, yako kutafakaria,
Kwangu umejitokeza, mahaba kunitakia,
Kwa kweli umejikaza, vema kuniangalia,
Banati umeniweza, kuniamsha hisia.

Haa! Shaban Robert au Malenga wapya?
 
Nimechelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…