Natafuta mwanaume mwenye hali kama yangu

Natafuta mwanaume mwenye hali kama yangu

Mtoa mada, mi swali langu ni ulipataje hivyo virusi?

Nia si kukudhihaki, ila huenda sisi tusiofit vigezo tukapata na cha kujifunza. Ila tu, kama ukijisikia huru kushare nasi. Natanguliza shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nlianza mahusiano na mtu tukapima tulikuwa safe three year to come visa na vituko kila siku kisa kipya na mwanamke mpya nikaamua kuachana nae na kupima,ndio nikakutana na majibu haya,funzo ni kwamba ukeshe ukiomba maana waweza tulia mwenza wako akauleta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama muathirika anatumia dawa ipasavyo hawezi kukuambukiza chances are 99.9% hutoambukizwa
Nashukuru kwa kunijuza hilo, ila sina budi kuwatafuta wataalamu (wabobezi) juu ya hili, ili wanitoe shaka.

Ok..!!kwetu Shamba, nasikia Milio ya Jogoo wakishindana kuwika, kumaanisha sasa kumekucha, ni siku nyingine tena, hatuna budi kumshukuru Mungu muweza wa yote, kwa kutufanya/kutuwezesha kuwa miongoni mwa walio iona siku hii...

Nashukuru sana kwa kuacha majukumu yako mengine, na kutenga muda, kunipa Elimu juu ya hili...

Asubuhi njema Dada/Aunty Sky...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru kwa kunijuza hilo, ila sina budi kuwatafuta wataalamu (wabobezi) juu ya hili, ili wanitoe shaka.

Ok..!!kwetu Shamba, nasikia Milio ya Jogoo wakishindana kuwika, kumaanisha sasa kumekucha, ni siku nyingine tena, hatuna budi kumshukuru Mungu muweza wa yote, kwa kutufanya/kutuwezesha kuwa miongoni mwa walio iona siku hii...

Nashukuru sana kwa kuacha majukumu yako mengine, na kutenga muda, kunipa Elimu juu ya hili...

Asubuhi njema Dada/Aunty Sky...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama una wasiwasi unaweza kwenda nae kwenye ushauri nasaha mkapata maelezo zaidi huko
 
Nlianza mahusiano na mtu tukapima tulikuwa safe three year to come visa na vituko kila siku kisa kipya na mwanamke mpya nikaamua kuachana nae na kupima,ndio nikakutana na majibu haya,funzo ni kwamba ukeshe ukiomba maana waweza tulia mwenza wako akauleta

Sent using Jamii Forums mobile app


Doh jamani...!

Pole sana aisee. Sasa ah au potezea tu naogopa nikiuliza maswali mengi labda utaniona nakukejeli. Endelea na thread yako dada angu...
Ubarikiwe ingawa nina maswali mengi..curiosity tu!
 
Ninampongeza huyu binti kwa uamuzi mzuri na ninaamini ya kwamba utampata mtu wa namna hyo
Ziko fikra hasi juu ya ukimwi lkn hakuna kisichowezekana kwa Mungu na huenda binti katumia hyo trick ili apate mtu mwaminifu na mwema maana unaweza kuta hana hata hyo vvu.
Mungu akubariki sana na nimeguswa na ujumbe wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada, mi swali langu ni ulipataje hivyo virusi?

Nia si kukudhihaki, ila huenda sisi tusiofit vigezo tukapata na cha kujifunza. Ila tu, kama ukijisikia huru kushare nasi. Natanguliza shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania wengine hatujakua civilized bado sasa mtumzima unauliza swali kama hilo unamwenjoy mwenzio. off topic

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania wengine hatujakua civilized bado sasa mtumzima unauliza swali kama hilo unamwenjoy mwenzio. off topic

Sent using Jamii Forums mobile app

Soma jibu lake halafu useme kama yeye ameona nimemdhihaki. Na ndiyo maana nikatoa angalizo kwa ajili ya wasomaji kama wewe.

Rekodi yangu hapa JF kwenye masuala serious huwa siweki mzaha.

Je, kwa jibu lake kutokana na swali langu hujajifunza jambo?
 
Back
Top Bottom