natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhat!

Mwaga sera zako..unataka aweje aweje
 
Tupo,lakini huwa nikiona binti ana tamaa ya pesa tu hata dakika haichukui napiga chini.sipendelei a lady kuwa overdependence.kama hauko hivo ni PM.!
 
Mbona we husemi kama una mapenzi ya dhati.
 
wewe ni nani, unafanya kazi ama unasoma, unaishi wapi, TOA MAELEZO YA KUTOSHA, na useme unatafuta mpenzi kwa ajili ya mikasi ama future??:cheer2::majani7:
 
Inakuaje uwe cute afu ukose mwanaume kwa umri huo? au hailipi?
 
Toa maelezo yenye kina vinginevyo unaonekana ni muhuni fulani, take care before doing something,
 
umri wangu ni miaka 24 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhat umri kuanzia miaka 25-28.anayejijua ana mapenzi ya dhat anipm!

Muachie Mungu yeye ndiye anajua who will be your right partner
 
umri wangu ni miaka 24
natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhat umri kuanzia miaka
25-28.anayejijua ana mapenzi ya dhat anipm!

Me nipo tayari, naomba mail ,jina lako kamili hasa unalotumia facebook. Mail yangu ni- alexg@rome.com
 
umri wangu ni miaka 24 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhat umri kuanzia miaka 25-28.anayejijua ana mapenzi ya dhat anipm!

Acha kuzingua watu wewe kama wataka wanaume nenda baa uone kama hutoki na wanaume kumi
au ni pm nikuelekeze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…