natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhat!

natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhat!

huyu demu halipi itakuwa we umeonapi mtu anatafuta mume kwenye mtando, huyu atakuwa housgirl tu
 
Kapewa talaka anataka aje kutoa stress zake huku! Kapotea njia aende F.B.
 
Ni PM mama. Ila mizinga SITAKIIIIII:dance:IIIIIIIIIIIIIII:dance:
 
umri wangu ni miaka 24 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhat umri kuanzia miaka 25-28.anayejijua ana mapenzi ya dhat anipm!

if true nitafute kupitia email yangu chiefmwalivale@gmail.com
 
Weka picha yako au wasifu wako na sisi tukujaji.
 
huyu demu halipi itakuwa we umeonapi mtu anatafuta mume kwenye mtando, huyu atakuwa housgirl tu
Hiyo ni kweli mkuu. Kwenye mtando hawezi kupata ila kwenye mtandao mbona kuna watu wanapata na kuoana kabisa.
 
Hongela kwani ckuhizi wanaume adimu sana,bila kujitangaza huwezi kupata ,komaa na Mungu akujalie
 
Back
Top Bottom