Natafuta mwanaume serious kuanza nae maisha

Natafuta mwanaume serious kuanza nae maisha

Watu kama nyie mnaboa sana! Akufuate pm akafanye nini huko? Number si kashatoa? Au unataka akupigie

Hapana mkuu, maelewano yote ni pm then kupigiana badae, sio vizuri kuingia kichwa kichwa ujue
 
Nakushauri ungetoa hiyo namba ya simu hapa,ila mazungumzo yote ungeyakaribisha DM.maana utatafutwa na wengi hlf wengi wao watakuwa wakikusanifu tuu.
Mkuu usiwaze, hawa wapo kazini. Ukiingia kichwa tutakusahau
 
wakuu huyu mrembo yupo serously.. yaan mwandiko wake anaonekana kabisa anamaanisha...
 
Wajuze kama una mtoto
Isije leta utata,kuna busara za kimishenari za kupiga uvaaji shela kunako madhabahu.
 
Anazingua, hajajibu comment hata moja,.. Hayuko serious
 
josepat nkembo unazingua kaka sio poa au kwa kuwa umekuja na ID fake? hapana bhna unaboa
 
mfuaten PM mdume mwenzenu muone😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom