Watu kama nyie mnaboa sana! Akufuate pm akafanye nini huko? Number si kashatoa? Au unataka akupigieNipo serious pia, kama kweli unamaanisha njoo PM tuyajenge
Niko Tayari kabisaMimi ni msichana mwenye umri Wa miaka 26 nna stashahada ya uuguzi alie serious anaweza kunitafuta 0657335823
Watu kama nyie mnaboa sana! Akufuate pm akafanye nini huko? Number si kashatoa? Au unataka akupigie
Mkuu usiwaze, hawa wapo kazini. Ukiingia kichwa tutakusahauNakushauri ungetoa hiyo namba ya simu hapa,ila mazungumzo yote ungeyakaribisha DM.maana utatafutwa na wengi hlf wengi wao watakuwa wakikusanifu tuu.
[emoji1] [emoji2] [emoji2] aliyemkusudia.Umetumwa kumtafuta nani?
Ngoja niwahi kukupigia kabla,sijawahiwa na wenzanguMimi ni msichana mwenye umri Wa miaka 26 nna stashahada ya uuguzi alie serious anaweza kunitafuta 0657335823
Naona umemcheck kwenye tigo pesaWee josephat nkembo, VIP unataka kuolewa aise, maisha yamekubana? Unatuaibisha wanaume wenzio,
M/mungu tusaidie waja wako. [emoji29] [emoji29] [emoji29]Wee josephat nkembo, VIP unataka kuolewa aise, maisha yamekubana? Unatuaibisha wanaume wenzio,
HahahaKwahiyo nakazi umeshapata au bado maana hiyo fani kuna ishu za night hapo sasa sijui inakuwaje
tayari lakini mahari ni (juisi na pipi)Mimi ni msichana mwenye umri Wa miaka 26 nna stashahada ya uuguzi alie serious anaweza kunipm