Natafuta mwanaume wa kuja kuwa mume wa maisha yangu

Natafuta mwanaume wa kuja kuwa mume wa maisha yangu

KWA UANDISHI HUU NA KAMA TABIA YAKO INAFANANA NA HUO UANDISHI, BASI UTAZEEKA BILA KUOLEWA.

HAUNA SIFA YA KUWA MKE.. JIPANGE, VINGNEVYO UTAISHIA KUTANUA PAJA NA KUPUNGUZA VIGEZO VYA MUME UNAYEMTAKA.

MUHIMU: UNATAKIWA KUKUMBUKA KUWA, MWANAUME NDIYE ANAYEDETERMINE NDOA.
 
kama hutajali rekebisha Baadhi ya sentensi !kama hapo umesema asipende sifa ambazo 'ANA' andika' HANA'
Yaani hayo ndo matatizo makubwa yaliyopo kwenye kiswahili siku hizi...ukitaka kujua umri wa mwandishi angalia anavyo andika kiswahili chake!
 
Tangazo lako lisingelitutenga sie wala juicy ya tende na maziwa, huku pweza tukiwajulia tukiwa watoto, hapo ungepata ukitakacho. Vinginevyo mi nakusubiri kwenye mchepuko tu.
 
Enzi zile za wahenga walikuwa wanaolewa WANAWAKE sababu wanakuwa tayari wameshafika muda mwafaka wa kuolewa.

Hiki kizazi cha singeli MABINTI ndio wanaotaka kuolewa sio wanawake tena...!?
 
Nyie wanawake mgetutongoza tu mnazani kututafuta ivi mtatupata labda wasio kua na akili,...
 
Back
Top Bottom