Sio mie mkuuOooho kumbe sio wewe mi nilikua nimeanza safari ya kuja
Nimekusoma mkuuSio mie mkuu
Yaani hayo ndo matatizo makubwa yaliyopo kwenye kiswahili siku hizi...ukitaka kujua umri wa mwandishi angalia anavyo andika kiswahili chake!kama hutajali rekebisha Baadhi ya sentensi !kama hapo umesema asipende sifa ambazo 'ANA' andika' HANA'
Wengine wanatumia maandishi ya wahenga wengine lugha ya kileoYaani hayo ndo matatizo makubwa yaliyopo kwenye kiswahili siku hizi...ukitaka kujua umri wa mwandishi angalia anavyo andika kiswahili chake!
Hakuna cha lugha ya kileo sema tu kiswahili kimewapiga chenga...Mf. ana badal ya hana ndo lugha ya kileo???