Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
-
- #21
pesa kwanza wewe mjini hapaKipi kinaanza?
Pesa kwanza au mimba kwanza?
hahahaaa wote vyuma vimekazawanaume wenyewe hawa wa Jf watoe m5 ?? ha ha ha ha
kuna wakati wa kila kitu
uwe tayari kumpa tsh m 5.ni advance ya kujifungua -hosptal bills etc. na kula uzazi,
wakati wa bwana umefika.
hiv negative
christian
usiwe na mtoto mwingine
mjumbe hauwawi mkumbuke
huwa hamkosi sababuKuna mashine za kutolea 5m sio zote
hela kwanza ndo tuprint risiti mkuuHiyo m 5 nitakuapa baada ya mimba kuingia sawa
huna hela wewe kaa pembeniMimba atake yeye ela kujifungia alipe anayempa msaada wa kumpiga mimba?
It does not make sense atakuwa anatafuta mtaji sio mimba...
wenye hela wanatoa maombi yao ,hadi application form wanalipiahuwa hamkosi sababu
Ungeweka wazi kuwa watafuta mtaji siyo mimba labda kama watafuta mambo..huna hela wewe kaa pembeni
unajua uzazi wewe?Ungeweka wazi kuwa watafuta mtaji siyo mimba labda kama watafuta mambo..
itakua nje ya ya JF maana humu kila siku wanahubiri mwanamke asiependa hela ndiye anafaa kuolewa, ukipenda hela basi wewe hufai hata kidogo πππwenye hela wanatoa maombi yao ,hadi application form wanalipia
kuna wakati wa kila kitu
uwe tayari kumpa tsh m 5.ni advance ya kujifungua -hosptal bills etc. na kula uzazi,
wakati wa bwana umefika.
hiv negative
christian
usiwe na
mimi sina shida ya mtoto ila natafuta mchepuko wa kudumu kwa 5 milion.vipi anaweza hii offer? Vigezo vyote alivyoorodhesha ninavyo
Ukitafuta mwenyewe ukipata na majukumu unabeba mwenyeweunajua uzazi wewe?