pm maana yake Private message yaani kwa lugha rahsi inaitwa INBOXnaombeni kujua maana pm ni nn kuuliza co ujinga
ndio
Kuelekea ndoa maana yake nini?Habari zenu wanandugu nina umri wa miaka 26 elimu Chuo kikuu nimeajiriwa katika kampuni.natafuta mwanaume alie serious na mahusiano ya kuelekea ndoa.Awe na Sifa zozote ila awe serious na mahusiano naomba ani pm kwa maelezo zaidi