Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

kwan bashite kwao wap
 
huku jf wapo wapenda papuchi tu wanaume wa kupanga mambo sirias ni wachache kuwa makini
Wa JF ndio watamfaa maana wanapenda papuchi na yeye yuko tayari kuitoa provided ME katimiza vigezo anavyovitaka
 
Mmmmh dada hapo kwenye urefu iko shda ebu legeza kdgo
 
Dah napenda papuchi lakini siyo kwa kiwango cha kutupa mbegu zangu. I can only do that kama utalegeza masharti
 
Watu wa Arusha wamependelewa. Mimi niko tayari kuwa nakuja kila weekend kwa ajili ya kazi ya kutafuta mtoto tu.

Ila naomba niulize yafuatayo:-

1. Hoteli analipia nani? Au tutafanyia kwako?
2. Nahitaji kutoa pesa baada ya tendo la kutafuta mtoto?
3. Nini kitaendelea baada ya mimba kupatikana na hatimaye mtoto?

Natanguliza shukrani, na nifikiriwe ombi langu
 
tena angejua angeenda kuwafata huko vijijini maana mbegu zao zina germination percentage which is not less than 90%, kwa hiyo uotaji wa mbegu ni mkubwa mno. unapanda once tu bila kurudia hahahahaha

Huu sasa ni Ubaguzi, kwa nini Arusha wakati hata huku vijijini kuna mianaume shababi wapiga Jembe hatari ambapo hutakuwa na wasiwasi wa kufa na njaa.
Tupe dili bibie tukupatie mbegu makini na yenye afya ya akili na mwili
gu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…