Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Kweli wewe umechoka kama jina lako.Mtafute beberu,huyo hana hulka ya kutafuta watoto baada ya kutia mimba.
Mkuu huyo ni beberu au jogoo kazi zao kuzalisha tu hawajui habari za watoto wao, na watoto wakikua wanaliwa mzigo kama mama yao. Na huyu nae mkipata mtoto wa kike hamjuani ipo siku unaweza kula mwanao si unajua siku hizi vidingi vinajiita Uncle/Anko vinapenda visichana navyo visichana vinapenda vidingi fedha ma-uncle/anko.
 
kama naziona PM inbox yako itakavyojaa,madomo zege wakija huko kukwambia watakuoa kabisaaa hawataki wakuzalishe peke yake.
 
Mkuu huyo ni beberu au jogoo kazi zao kuzalisha tu hawajui habari za watoto wao, na watoto wakikua wanaliwa mzigo kama mama yao. Na huyu nae mkipata mtoto wa kike hamjuani ipo siku unaweza kula mwanao si unajua siku hizi vidingi vinajiita Uncle/Anko vinapenda visichana navyo visichana vinapenda vidingi fedha ma-uncle/anko.
I will take this!!
 
Unatega eeh! Thubutu! Tena Arusha!! Umesahau ki2 k1 , mkataba unafanyika wapi? Km kwa loyer xawa.
 
huku jf wapo wapenda papuchi tu wanaume wa kupanga mambo sirias ni wachache kuwa makini
Out of topic muhusika kashasema hataki lolote isipokuwa apewe mimba, sasa wewe unataka wapange tena kitu amabacho si lengo lake?[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Mkipata vihela mna taabu nyie! Hamjuwi kuwa mnakiuka sheria ya mtoto? Ile ya kumfahamu baba yake mzazi na mama yake mzazi? Mtuondolee ubwege weñu humu!
 
Utakuwa tayari tukafanye makubaliano kwa mwanasheria ili baadae usije geuka na kuanza kudai matumizi?
Yaani hapa ndo utajua kuwa mwanamme hamiliki mtoto, zaidi ni mfumo dume tu.
 
Aende club au casno akachague atawapata weeengi, utazaaje MTT. Na kuacha? Ndo baadae unamla au analiwa na ndg .mjadara huu ufe
 
hizi ni dalili za kujikataa na kukata tamaa na hata jina lako linaonyesha kuwa umejikataa! kwa hali hii inaonyesha kuwa kwa kuwa wewe umeanza kujikataa hivyo sasa unataka ukataliwe!
hii inawezekana inatokana na mateso na masumbufu uliyoyapata huko nyuma na wanaume na mwisho wa siku unafikiri unaweza kujitawala mwenyewe.
mwanzo kwa maisha ya kawaida haisumbui lakini kwa maamuzi yako yanaweza kukutengenezea magonjwa siku zijazo ya pressure na kisukari yanayoweza kuwa yametokana na ubinafsi wako ambao unaanza kuujenga sasa!
kwa kuwa swali la mwanao baba yuko wapi litakukera na hautakuwa tayari kumpa majibu mazuri na matokeo yake utaona maumivu aliyonayo na hiyo hali itakupa shida katika maisha yako.
nakushauri yafuatayo:-
  1. kwanza badilisha hilo jina unalotumia kwa kuwa linaumba hali ya kukataliwa kwako na kujikataa
  2. pili jiamini na amini bado unafursa sawa ya kuweza kuwa na mume kama wnawake wengine
  3. jifanyie SWOT analysis na hakikisha unajipa maksi za juu kwanza na pale penye mapungufu hakiksha unapajazilizia kwa mazuri ulionayo
  4. tafuta watu wakufanyie huduma ya maombi au cancelling unaowaamini wanaweza kuwa msaada kwako na jifunue kwao (hali yako ) nao wanaweza kukusaidia kubadilika
  5. mwisho amini kuna mtu anakutafuta hajui atakupata lini
  6. kwa maelezo mengine ni pm (sio kama najipigia pande hapana nahitaji uwe mwanamke uliyefanikiwa katika mawazo yako na fikra zako ukiwa umekombolewa na utumwa wa maumivu ya ndani)
Jamaa ana mbinu za medani huyu.. hahaaaa
Kwanza kamshusha confidence, kisha katoa ushauri wa kujijengea confidence na kumfanya mdada aifuatilie ndoto yake (believing in her wishful thinking life). Mwisho kajipigia pasi ya goli mwenyewe kama zile enzi za Henry a.k.a Chogo wa Arsenal ile ya the dream team, anapokea pasi kisha anaupiga mpira kwa mbele kidogo anaanza kutimua mbio anakimbizana na beki kwenda kupiga bao. JF kuna mafundi wengi balaa..
 
Jamaa ana mbinu za medani huyu.. hahaaaa
Kwanza kamshusha confidence, kisha katoa ushauri wa kujijengea confidence na kumfanya mdada aifuatilie ndoto yake (believing in her wishful thinking life). Mwisho kajipigia pasi ya goli mwenyewe kama zile enzi za Henry a.k.a Chogo wa Arsenal ile ya the dream team, anapokea pasi kisha anaupiga mpira kwa mbele kidogo anaanza kutimua mbio anakimbizana na beki kwenda kupiga bao. JF kuna mafundi wengi balaa..
tehe....tehe.....tehe.... nilikuwa kimeo zamani lakini kwa sasa mimi ni mtu mwingine kabisa huwezi amini nawasaidia wengi humu na huwa nawafuatilia nikiwapa ushauri sijawahi jiongeza hata kwa mmoja.
hivyo hofu ondoa endelea kushindana nishakuwa mkubwa sasa!
 
Back
Top Bottom