Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Hakuna mwanaume anaejielewa eti akupe ujauzito afu msijuane ni ngumu.

Lazima ujue unazaa na mwanaume wa aina gani sio sababu unahitaji mtoto kila aliyevaa suruali basi unaweza kuzaa nae

Pia katika uliokuwa nao katika mahusiano si ungebeba bila wao kujua kama kweli unania ya kulea mwenyewe

Hakunaga mwanamke anaependa kulea mwenyewe buanaa
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm



NITAFUTE HAPA NASIFA ZOOTE HIZO NA NIKO ARUSHA KARIBU SANA MAMA
 
Wengine sisi huwa hatuachagi damu zetu zipotee kirahisi hivyo..so huezi nipangia masharti nisimuone mwanangu...ondoa sharti hilo tufanye kazi wiki mbili tu then utasimulia!
 
Sidhani dada yetu hilo wazo lako umelifikiria vizuri, kwani ndoa kwako imeshindikana kabisa?
Athari za kuwa mzazi pekee wa mtoto unaweza ukaathirika wewe na mtoto utakayemzaa kwa sababu za shortcut.
Mtoto ana haki ya kuwa na baba na mama atakuuliza yupo wapi baba yake? unaweza kumdanganya lakini akijua ukweli unaweza ukupoteza thamani yako kwake, kwani mtoto ni binadamu kama wewe anahitaji kuwa na wazee wake wawili. Na utakaye zaa naye humjui background wala familia yake huwenda akawa ana vigezo unavyovihitaji lakini wana maradhi ya kurithi, sasa sijui ukipata mtoto mwenye matatizo ya kiafya , na si katika tamaduni za kiafrika kuzaa nje ya ndoa, na wafanyao hivyo mara nyingi si kusudio lao ila hali ndiyo inawakuta iwe hivyo. Kama unahitaji mtoto mbona kuna mayatima unaweza ukamchukua mmoja na kumlea.
 
Unatoa nini cha zaidi baada ya hilo lipapuchi nikisha kukupatia unachotaka?
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
Mimi apa nipo tayar 0745936497
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
Hii ni nyepesi saana hata hukuhitaji kuja hadi humu, si ni mbegu, za mtu mrefu, asiye na virusi tu?!! Pitapita street kwenu hapo, kwa vyovyote wakaskazini wengi ni warefu, kamata chizi aliyechizika haswa, jifanye kumlea, mpeleke hospitali kampime, akiwa salama mpe tunda hadi ukamate hiyo mimba. Ukimrudisha street we 50 zako naye zake kabisaaa, hatokuzingua hata akipona uchizi wake.
 
Wengine sisi huwa hatuachagi damu zetu zipotee kirahisi hivyo..so huezi nipangia masharti nisimuone mwanangu...ondoa sharti hilo tufanye kazi wiki mbili tu then utasimulia!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume wa jf wananifurahisha
 
Me natafuta mwanamke wa kuzaa nae tu mtt mmoja ila awe tinginya na awe Mbeya
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
Wewe mwenyewe una umri gani usije ukawa bibi labda.
 
Hii ni nyepesi saana hata hukuhitaji kuja hadi humu, si ni mbegu, za mtu mrefu, asiye na virusi tu?!! Pitapita street kwenu hapo, kwa vyovyote wakaskazini wengi ni warefu, kamata chizi aliyechizika haswa, jifanye kumlea, mpeleke hospitali kampime, akiwa salama mpe tunda hadi ukamate hiyo mimba. Ukimrudisha street we 50 zako naye zake kabisaaa, hatokuzingua hata akipona uchizi wake.
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
Hapo kutakua na sabb mkuu.. Hata wa kujilengesha tu umekosa?? Labda .. Ngoja waje
 
Back
Top Bottom