Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Kuzaa mtoto wako halafu usimjue ni unyama huu. labda kama kuna posho nijue
 
Hahaaaa sio mimi. Mimi nikishapata tu ujauzito tusijuane tena
Wewe si bure utakuwa umeagizwa na mganga upeleke mtoto wa kafara kufanikisha mipango yako.Hivi ni mwanaume gani atakubali kutupa damu yake huku akijua fika ni damu yake?
 
Mi nahic wewe unatafutia wanaume wenzangu shida humu hamna machoko, maana huwezi kusema suala kama hilo ukaja kutafuta humu wakati mtaa unaoishi wapo kibao.
 
KAMA UNAISHI ARUSHA NINGEKUSHAURI, UTAFUTE KIJANA WAKISOMALI , WAMEJAA HAPO ARUSHA.

NI KABILA WAREMBO SANA UKIPATA MTOTO ME / KE WOTE WATAKUWA WAZURI SANA KWA MAUMBILE NA NGOZI.

UWEMBABA SIO HOJA IN TODAYS WORLD. INFACT NDIO STYLE YENYEWE.

PIA NAKUSHAURI MKATABA SIO LAZIMA, HAWA HAWAFUATILII SANA NA MARA NYINGI HAWAKUBALI WATOTO NJE YA NDOA. KWA HIVYO HUTAPATA SHIDA ANA BUGHUDHI KWAO.
 
Uko tayari tukaandikishiane Kwa mwanasheria.. maana mambo ya matumizi ya mtoto nani anataka..
 
Hata sisi hatuingii ingii tunavigezo pia,weka vyakwako hapa .Mbegu hazipotei bure
 
Aisee mimi niko nakaa Achugaa mitaa ya sanawari nakidhi vigezo vyote tuwasiliane ila sharti nawe uwe bonge
 
Ni pm tulijenge.
 
Salary and other fringe benefits ?
 
Sasa wewe lengo lako ni mtoto mambo ya kuwekeana limit ya umri yanatoka wapi kwani ukizaa na kajmaa kadogo kama mm mtoto atakuwa tofauti ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…