Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Weka sifa zako pia maana kuchafua ukoo wengine hatutaki[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Afu ni PM
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji4] [emoji125] [emoji125]
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
Sifa za nini tena kwa mwanaume unayetaka kuzaa nae miss nimechoka?

Umesema kuwa unataka mwanaume wa kuzaa nae tu then akishakupa mimba kila mtu na 50 zake

Sasa sifa za nini tena Mkuu

Au ukinogewa penzi/tendo/mahaba anakuwa mmeo

Sifa zote ninazo na nipo tayari kuzaa/kukupa mimba.
 
hata sheria ya nchi na katiba haiondoi haki ya mwenye mtoto kuwa na uhalali wa mtoto je wewe ni nani
 
Free sperms!No ya have a freedom to beg for naniliu but not to that extent,so watch out.
 
Sifa za nini tena kwa mwanaume unayetaka kuzaa nae miss nimechoka?

Umesema kuwa unataka mwanaume wa kuzaa nae tu then akishakupa mimba kila mtu na 50 zake

Sasa sifa za nini tena Mkuu

Au ukinogewa penzi/tendo/mahaba anakuwa mmeo

Sifa zote ninazo na nipo tayari kuzaa/kukupa mimba.
Sifa lazima hata kama nataka wa kuzaa nae tu. Pia itasaidia mtoto atoke kama ninavyopenda
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
 
huku jf wapo wapenda papuchi tu wanaume wa kupanga mambo sirias ni wachache kuwa makini
Sasa serious ya nini, maana naona kuna free papuchi kisha kila mtu na zake 50, sasa umakini wa nini![emoji15]
 
No any salary your benefit is enjoying my sweet honeypot that's all
My friend the sweet honey pot enjoyment itakuwaje wakati wewe unataka mimba ikishaingia mkataba kwisney ! Kama kuna ruhusa kukuza mtoto akiwa tumboni that could be among the fringe benefits.
Bahati mbaya Niko Dar ningekupa mbegu upate masikio makubwaaaaa
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
Njoo inbox
 
Back
Top Bottom