Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Vigezo vyote ninavyo, ila hiyo point ya mwisho ya kuwa Arusha inatutoa wengi nje. Kwani hujui siku hizi Dar na Arusha ni kama mwendo wa mtu anayeenda sokoni na kurudi my dear? Hebu ondoa hicho kigezo cha kuwa mkazi wa Arusha.
 
MADEMU KAMA NYINYI NDIO SIWATAKI ATA KUWASKIA, kwa hio unataka kuzaa tu hauna malengo yoyote????
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
Si uende hospital ukapandikizwe, kwa baba asiyejulikana. Vinginevyo mtoto ni damu ya mtu atakusumbua tuu juu ya mwanawe.
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
Sasa ww unatafta wa kuzaa nae tu,umri wa nn ww?
 
Mtoto atakamilika zaidi akipata mapenzi ya baba na mama. Tafuta mtu wa kuishi nae ili ukamilishe familia yenye baba na mama ndio heshima! Sherehe nyingi unasikia Mr na Mrs , wewe utajiweka kundi gani??
 
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm

Ulisha patwa, sifa nyingi ninazo na hitaji pia ninalo ila moja tu sikai wala sipatikani Arusha na hilo kila mtu kula 50 zake duh, nadhani linaongeleka
 
Back
Top Bottom