Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae ila kuoana hapana, awe tayari kupima HIV!

Nikizaa nitalea mwenyewe, na yeye atabaki kuwa baba mtoto na mzazi mwenzangu ila ngono baada ya kuzaa hapana.

Awe sura nzuri, mrefu.
Umesha zaa tayari? Kama bado ni PM.
 
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae ila kuoana hapana, awe tayari kupima HIV!

Nikizaa nitalea mwenyewe, na yeye atabaki kuwa baba mtoto na mzazi mwenzangu ila ngono baada ya kuzaa hapana.

Awe sura nzuri, mrefu.

Vigezo hivyo vipo nitafute
 
Kama upo dar n pm , mm nipo mbali ila natamani sana mtoto awe karbu na bibi yake am siriaz ni pm,!!"
 
Tupia no. I have all the qualifications ur looking 4
 
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae ila kuoana hapana, awe tayari kupima HIV!

Nikizaa nitalea mwenyewe, na yeye atabaki kuwa baba mtoto na mzazi mwenzangu ila ngono baada ya kuzaa hapana.

Awe sura nzuri, mrefu.

hiyo ni fulsa nzuri ila kigezo cha sura ni tatizo kwangu
 

Umenchekesha sana bro.
 
jamani dada inaonyesha una lako jambo si burreeeee!
 
Duh! Watu wanavyozishadadia papuchi za bure...!!
 
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae ila kuoana hapana, awe tayari kupima HIV!

Nikizaa nitalea mwenyewe, na yeye atabaki kuwa baba mtoto na mzazi mwenzangu ila ngono baada ya kuzaa hapana.

Awe sura nzuri, mrefu.

Binafsi nimefurahishwa na ombi lako kwani vigezo vyooote ulivyotaja me nnavyo but umenivuruga mwishoniiiiii.
yaaaaani me niwe provider wa mbegu tu? Nikimzaaa mtoto nsipomlea itaniuma maisha yangu yoteeeee. Siwezi kutupa damu yangu ikalelewe na mtu mwingine
 
Iyo ni selfishness and heartless, you the package love with the owner, huyo mtoto utamwambia ulimpataje Kwenye JR baada ya post hiyo makuuuubwa mpaka nimeogopa duuuuh unatisha mama
 

Dah aisee hii ni too much.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…