Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae ila kuoana hapana, awe tayari kupima HIV!

Nikizaa nitalea mwenyewe, na yeye atabaki kuwa baba mtoto na mzazi mwenzangu ila ngono baada ya kuzaa hapana.

Awe sura nzuri, mrefu.
Ulifanikiwa kuzaa?
 
Umepata au bado? kama hujapata nije tufyatue watoto kadhaa !
 
Hizi nyuzi leo mbona zinafukuliwa hivi?!!!..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ muwe mnaleta mirejesho kututia hamasa wengine
 
Mwenye connection na mbegu za kihispaniola anistueπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ si za maabara lakini
 
Tanzania ya viwanda ndio kauli mbiu yetu, Dada njoo PM tuyajenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…