Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

wewe sio mzima,huwezi pata wa kukuzalisha humu jf kizazi chako kipo vizuri?
 
Nenda maabara kachukue mbegu,nahc hupendi ngono,na usisex ht kidogo mpaka unaingia kaburin,c unapingana na nature
 
Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.

Ndugu kwakuwa hiyo ni PROJECT ni vyema ukaweka na BUDGET yako Hadharani! manake m2 hawezi kukupa MIMBA kwa malipo ya kuGEGEDA tu! manake wee ndo mwenye SHIDA Ila km hutaki kulipia hiyo Huduma basi Vizia Danger Day yako kisha mtegeshee m2! Lkn ukiweka live BUDGET Pipo watachangamkia TENDA swala la kupima KAPUYA watu wata pima2 kila la heri!
 
Wewe una dini gani?maana hakuna hata dini moja hapa duniani inaruhusu huo uchafu unaotaka kufanya .
Mungu msaidie huyu mja wako amekusahau ndo maana akaleta maada ya kipumbavu km hii ,msamehe kama atajutia na hatotimiza azma yake hii.du mtihani
 
Mbegu zinauzwa hospitalini, nenda ukanunue mbegu na upandikiziwe kama ng'ombe wa kisasa ili huyo mtoto awe wakwako peke yako maana mtoa mbegu utakuwa humjui.
 
How and where'll i gt u? nipo tayari ila nitahitaji mwezi mzima wa kupiga mzigo,mimba ikishaingia then naendelea kupiga mzigo mpaka utakapojifungua,then napotea sawa!
 
inbox ur contacs to bubu muongeaji atakutafutia anaekufaa, maana yeye amewezesha watu kama wawili
 
Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.

acha kuleta vigezo, urefu ama sura havina uhusiano na unachotafuta
 
Kusema ukweli Miss M4C u cant be serious hakuna mwanaume yenye akiri zake anaweza kufanya hicho unachotaka labda utapata tayira tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…