Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.

Tayari umeshaharibiwa tumboni?? kama bado niambie, mie zangu hazipotei bure, hata kama sio siku mwafaka lazima upate mimba tu. Nimechoka kutoa hela ya kuchomoa....
 
Nikizaa nitalea Mwenyewe, na yeye atabak kuwa Ba Mtoto na Mzaz mwenzangu ila Ngono baada ya kuzaa hapana, awe sura nzuri, Mrefu.
Urefu wa namna gani dushee au? Na ukijalizimia dushee ukaanza kung'ang'ania mkunjo uko tayari kulipia?
 
Ok naomba tutafutane mm pia nilikua natafuta mtu wa kumzalisha mtoto wa kiume PM tutimize ndoto zetu
 
Yote ninayo nayaziada nahuwakika nakufaa kupima sio tatizo
 
Tayari ulishapata wa kukuzalisha??kama bado naomba nichukue hiyo fursa,vigezo na masharti nitazingatia!!!!
 
sura ya waisara huitaki...alafu akili kijiko
 
Back
Top Bottom