Natafuta Mwanaume wa miaka 53-56 aliyejitunza kiafya

Kila la kheri mkuu, ila mwanaume wa 50+ kuanza upya huko ughaibuni inaweza kuwa changamoto sana, tena na stranger..!!
 
Ni mawazo tu,,,,,,,,,,, your free kumfata huko email na pm. Mi nawashtua tu vidume mkipigwa msiseme hamkuambiwa.
Sasa kipigo kitatoka wapi hapo?? Yupo na maisha yake anatafuta stara, a man who can spend and enjoy life with her...hahitaji pesa ya madafu huyo...kama vile wanawake wazungu wanavokuja kuchukuwa wanaume wenye rasta, na yeye ni hivo... mabaharia tunaita hiyo ni dodo chini ya mpera.
 
Nakuombea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umri wa kula mafao na kucheza na wajukuu unataka kumtia ktk mahusiano????πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hupati.Kaolewe na binamu zako.
 
Ukiwa tayari nicheki nikuunge na ndugu angu..
Yeye umri: 50
Elimu : Mwalimu
Dini :Muslim..
Ukiwa serious lakini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…