Natafuta mwanume anaekunywa pombe awe rafiki

Natafuta mwanume anaekunywa pombe awe rafiki

Tundazuri

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2012
Posts
1,932
Reaction score
2,525
Habari rafiki,

Kama kuna mwanaume anaependa kulewa au kunywa naomba awe rfk yangu, yaan napenda mwanaume mlevi sanaa napenda tu akilewa anavyoongea na anavyotukana yaan najisikia raha sanaa. Ni kwa urafiki tuu mimi nipo Dodoma kwa sasa. So karibu tubadilishane mawazo
 
Screenshot_20241206-080636.jpg
 
Back
Top Bottom