Bata Boy Official
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 259
- 309
Habari wakuu!
Mimi ni kijana ambaye ninatamani na ninapambana sana kuwa mjasiriamali upande wa mtandaoni (online au e-entrepreneur).
Miaka kadhaa iliyopita nilipata idea ya App ya Online casino (ambayo ni tofauti na online casino zilizoeleka kwa kila kitu),ila kwasababu idea kama idea haitoshi kushawishi mtu kuwekeza pesa yake kwako, nikaanza kuifanyia kazi, yaani kufanya designing ya UI (User Interface) nikatengeneza Wireframes lakini kama haitoshi nikatengeneza mpaka CLICKABLE-PROTOTYPE kabisa inayoonyesha utendaji kazi mzima wa App.
Hivyo sasa hatua iliyobakia ni ya kutengeneza App ili iweze kuanza kutumika rasmi yaani kuwafikia walaji.
Ila gharama ya kutengeneza Application ndio changamoto kwangu.
Nimeshafika sehemu mbalimbali kama Gaming Board pale posta, nimeenda Sportpesa kule Oysterbay, na sehemu nyingine mbalimbali kwaajil ya kufuatilia hiki ninachokiongelea hapa.
Sababu ya kufanya nije mpaka hapa jukwaani kuandika uzi huu ni kwamba, wenzetu wanasema "A problem shared,is a problem halved" wakimaanisha kwamba kushirikisha watu tatizo lako ni nusu ya kulitatua.
Sasa ninachowaomba wakuu kama unaweza kuwekeza au kudhamini App hii, au unafahamu mtu anayeweza kuwekeza au kudhamini, au hata kunielekeza sehemu ambayo ninaweza kupata uwekezaji au udhamini wa App hii, nitashukuru sana sana.
Endapo ukitaka maelezo zaidi kuhusu App hii, au kutaka kuona utendaji kazi wake nk tafadhali usisite kuja PM nitakupa mawasiliano yangu na taarifa zaidi ili tuyajenge.
Asanteni sana wakuu.
Mimi ni kijana ambaye ninatamani na ninapambana sana kuwa mjasiriamali upande wa mtandaoni (online au e-entrepreneur).
Miaka kadhaa iliyopita nilipata idea ya App ya Online casino (ambayo ni tofauti na online casino zilizoeleka kwa kila kitu),ila kwasababu idea kama idea haitoshi kushawishi mtu kuwekeza pesa yake kwako, nikaanza kuifanyia kazi, yaani kufanya designing ya UI (User Interface) nikatengeneza Wireframes lakini kama haitoshi nikatengeneza mpaka CLICKABLE-PROTOTYPE kabisa inayoonyesha utendaji kazi mzima wa App.
Hivyo sasa hatua iliyobakia ni ya kutengeneza App ili iweze kuanza kutumika rasmi yaani kuwafikia walaji.
Ila gharama ya kutengeneza Application ndio changamoto kwangu.
Nimeshafika sehemu mbalimbali kama Gaming Board pale posta, nimeenda Sportpesa kule Oysterbay, na sehemu nyingine mbalimbali kwaajil ya kufuatilia hiki ninachokiongelea hapa.
Sababu ya kufanya nije mpaka hapa jukwaani kuandika uzi huu ni kwamba, wenzetu wanasema "A problem shared,is a problem halved" wakimaanisha kwamba kushirikisha watu tatizo lako ni nusu ya kulitatua.
Sasa ninachowaomba wakuu kama unaweza kuwekeza au kudhamini App hii, au unafahamu mtu anayeweza kuwekeza au kudhamini, au hata kunielekeza sehemu ambayo ninaweza kupata uwekezaji au udhamini wa App hii, nitashukuru sana sana.
Endapo ukitaka maelezo zaidi kuhusu App hii, au kutaka kuona utendaji kazi wake nk tafadhali usisite kuja PM nitakupa mawasiliano yangu na taarifa zaidi ili tuyajenge.
Asanteni sana wakuu.