Natafuta Mwekezaji katika biashara yangu

Kama hujipendi basi weka mtaji wako kwa mtu mweusi hasa Mtanzania umeisha.

Nimechoma Mil 17 with 4 months.. tena usijaribu kabisa, huwa wanaanza na lugha nzuri sasa weka hela yako uone kazi.
Umechoma m17 within 4minth katika biashara Gani mkuu
 
Kama hujipendi basi weka mtaji wako kwa mtu mweusi hasa Mtanzania umeisha.

Nimechoma Mil 17 with 4 months.. tena usijaribu kabisa, huwa wanaanza na lugha nzuri sasa weka hela yako uone kazi.
Pole...ilikuaje na sisi tujifunze?
 
Kama ni wakala wa MNOs na Banks, maana yake una leseni zote na TIN
Weka vizuri dhamana zako nenda bank uombe mkopo.
Uzuri bank riba zake ni nafuu na mifumo yake ya kurudisha pesa inaeleweka
 
Malipo ya ada yana kamisheni ? Unayalipa kwa kutumia nini? Kulipa ada sio bure ?
 

Una point nzuri sana mkuu, japo umeweka utani mwingi
 
Unataka mwekezaji awekeze shilingi ngapi?
 
Haya na mimi nataka mwekezaji wà hardware, m5 tuweke tiles thamana ya pesa yake nampa kadi ya gari na kila mwezi nampa faida kama kuna aliye tayari njoo tuyajenge--!-------
Jamaa ntakutafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…