Natafuta mwenye milioni 5 tushirikiane kuendeleza shamba la miti kisha tutagawana faida baada ya mavuno

Nipigie kwa namba 0760099387
 
Miti inavunwa baada ya muda gani?
 
Shamba kubwa kama hilo benki wakatae!!! Labda huna hati ya shamba, hakuna atakaekubali bila kuona hati halali ya shamba.
 
Mmmmh
 
Nipe kwanza ef50 mkuu nikanunue mzigo wa mboga mboga.. kabla hujampata wa mil 15 itakua imerudi yani win win situation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…