Habari.
Nina eneo Singida-Mwaja kilometa 5 kutoka mjini kati. Natafuta mtu mwenye mtaji pesa wa kushirikiana nae tujenge lodge kwa kuanzia vyumba vitano tu. Nipo tayari kutoa umiliki wa biashara kwa makubaliano ya asilimia kulingana na gharama atakazoweka.
Ukubwa wa eneo 2129 sqm eneo limepimwa lipo jirani na lami kiwanja cha pili kutoka lami njia ya kwenda Mwankoko.
Mwenye nguvu na nia namkaribisha tuje kupigana na umasikini. Ahaante.
Yetusote8@gmail.com
Nina eneo Singida-Mwaja kilometa 5 kutoka mjini kati. Natafuta mtu mwenye mtaji pesa wa kushirikiana nae tujenge lodge kwa kuanzia vyumba vitano tu. Nipo tayari kutoa umiliki wa biashara kwa makubaliano ya asilimia kulingana na gharama atakazoweka.
Ukubwa wa eneo 2129 sqm eneo limepimwa lipo jirani na lami kiwanja cha pili kutoka lami njia ya kwenda Mwankoko.
Mwenye nguvu na nia namkaribisha tuje kupigana na umasikini. Ahaante.
Yetusote8@gmail.com