Natafuta mwenyeji Arusha

Unaenda kwenye uchaguzi wa TLS? Kama unaenda kwenye uchaguzi, Je utamchagua Lissu? Kama utamchagua Lissu nitakupa makazi uishi bure kabisa.. It's an empty home but full secured, iko Sakina kwa Idd..
Uchaguzi umepigwa pini...hufuatilii habari mkuu?
 
Huu mwaka umekuwa mgumu sana bruv.. Ila tupo tunapishana tu. Na yule jamaa yetu naona nae kapoa sana

Teh, yule bwana yuko kimya hadi nimemiss sasa.
Nakionaga kile Ki-minion chake kipo kipo tu.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ooooohh kumbe... Sifatilii sana habari za hii nchi, nchi ina vituko sana hii ukitaka kufatilia kila kitu utapasuka kichwa bure..
Dah mwenyewe,natamani nisisikie chochote kuhusu siasa za nchi hii ila siwezi
 
Teh, yule bwana yuko kimya hadi nimemiss sasa.
Nakionaga kile Ki-minion chake kipo kipo tu.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Tangia ile siku nimekiwashia moto naona kametokomea sana.. Yule bwana nae kaamua kurudi siasani tu..
 
Heri wenzangu na mimi!
Naomba mtu aliyepo mjini Arusha aniPM,natarajia kwenda huko na itakuwa mara yangu ya kwanza.Hivyo ningependa nimpate mwenyeji
Karibu sana mkuu. Mie naish arusha ukifika unijulishe
 
Tunapenda wageni,
Embu describe appearance na toa details unakuja kufanya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…