Natafuta mwenyeji Arusha

Karibu Arusha mkuu. ..
Ni nyumbani sema nimetoka....
Una sifa zipi nikutafutie mwenyeji fasta.

Duh! Sifa zipi unazungumzia mkuu?
Kifupi mi male,36 years old,married,IT na Tourisme ndo deal zangu.Mengine niPM
 
Sure...kwenye miaka ya 2005 na 6 palikuwq hapataminiki... umezunguka mkuu
Mkuu tz yote iko kiganjani, mie mpambanaji, napaswa kukimbia wakati wengine wanatembea, nina muda mfupi Arusha but naipata kona tu kona. Kiseriani naipata sana, hata jana nimepita pande hizo, na Laiza waipata au!!!
 
Mkuu tz yote iko kiganjani, mie mpambanaji, napaswa kukimbia wakati wengine wanatembea, nina muda mfupi Arusha but naipata kona tu kona. Kiseriani naipata sana, hata jana nimepita pande hizo, na Laiza waipata au!!!
Arusha karibia naijua kona zote...


Sizungumzii kiseriani ya Arusha mkuu. Nilikuwa Naongelea Kiserian Kenya. Ukitoka mbakase kabla hajafika Nai kuna mji unaitwa kiseriani au ukiwa unatokea magari kabla ya kufika Nai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…