Natafuta mwenyeji Arusha

bas sitaki tena kuchungulia kirungu nisije nikaachika bure hapa
Hivi huyu anayekutishiaga kuachika ni nani. Mwambie tunasubiri udondoke tukuokote kabla hujatua chini
 
imeshafika 1k thread nzima Daby tu ila usituangushe tunafanya kazi kubwa husna kasema week end hii mnaonana kupeana mautamu [emoji23]
Kiukweli sitawaangusha...nitachapa kama ....malizia mwenyewe

Sakayo
 
kama ni mwanaume wa Dar uku hatukuhitaji sababu wanaume wa Dar mkiambiwa mtoe vikaratas (vyet) tu mnaanza kulia yan mnaonyesha ni jins gan mlivyo chips mayai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…