Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unataka stafute mzima au?Ukiwa na ngwengwe ndo utafute bwana +ve?
Umesoma shule gani?
Njoo pmNatafuta mwanaume mwenye hiv +, mwenye uelewa na afya yake na anatumia ARV.
Aliyeserious tafadhali mengine tutajuana PM.
Hiv+ sio tishio sana na sio hatare kiasi hicho mpaka ulitangaze ata asio kua naye anaweza kuja ila mkaishi kwa tahadhari, kutaja hiv ni unyanyapa,........wewe taja sifa zingine za kuvutia kuliko hilo la hiv, baba mtoto iko wapi wewe unakipato au la unanyumba au unapanga au uko kwa wazazi.Habari wana jamii forum,mm ni mama wa mtoto mmja nina umri wa miaka 31 najishughulisha na biashara ndogondogo nipo dar es salaam ..nimekuja kwenu natafuta mwenza kwa mara nyingine. jaman hakuna kitu kigumu kama upweke,naamini kati yenu yupo mmja ambaye atakuwa tayari tulisukume gurudumu la maisha pamoja...
Unaweza pia ukaenda instagram kuna dada maarufu nae ni HIV+ anaitwa Doreen Odemba.Huwa anakutanisha watu wenye hali kama yako na ushauri pia anatoa.Habari wana JamiiForums,
Mimi ni mama wa mtoto mmoja, nina umri wa miaka 31, najishughulisha na biashara ndogondogo, nipo Dar es Salaam, nimekuja kwenu natafuta mwenza kwa mara nyingine.
Jaman hakuna kitu kigumu kama upweke, naamini kati yenu yupo mmja ambaye atakuwa tayari tulisukume gurudumu la maisha pamoja.
Huo ndo utu sasa.UbarikiweNitafanya maombi maalum kwaajili yako,Mungu akufanyie wepesi!
Sasa wewe uliyesoma inayoeleweka,si hiari yake kumchagua anaemtaka? Unamuwekea masharti na vigezo kama nani? Naona badae utamuuliza kwa nini hajamtafuta wa jinsia yake sasa.Ukiwa na HIV ndio utafute bwana +ve?
Umesoma shule gani?
Pole sanaHabari wana JamiiForums,
Mimi ni mama wa mtoto mmoja, nina umri wa miaka 31, najishughulisha na biashara ndogondogo, nipo Dar es Salaam, nimekuja kwenu natafuta mwenza kwa mara nyingine.
Jaman hakuna kitu kigumu kama upweke, naamini kati yenu yupo mmja ambaye atakuwa tayari tulisukume gurudumu la maisha pamoja.