Dada bonge unateseka ukiwa wapiNaitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!
-Umri 32
-Dini Mkristo
-Elimu Degree
-Kazi Mwajiriwa
-Sina mtoto
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo
Awe- Dini mkristo
-Umri 34-45
-Awe anajishughulisha
😂😂😂😂😂 Basi sawainategemea una umri gani ....kama ni above 30 ..na unajiweza tafuta anayepumua tu
Nifutie hii comment yako ili kufuta ile namba niliyo kutumia mimi yangu nilisha futa. Thank youFuta namba eti..alafu sipo serious bana
[emoji848][emoji848]Njoo pm
[emoji848][emoji848]
[emoji1787][emoji1787]
Dah kidogo tuu but Mimi nataka mwenye watoto angalau wawili... But usijali utapata Tuu Mungu ni MwemaNaitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!
-Umri 32
-Dini Mkristo
-Elimu Degree
-Kazi Mwajiriwa
-Sina mtoto
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo
Awe- Dini mkristo
-Umri 34-45
-Awe anajishughulisha
GoodNaitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!
-Umri 32
-Dini Mkristo
-Elimu Degree
-Kazi Mwajiriwa
-Sina mtoto
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo
Awe- Dini mkristo
-Umri 34-45
-Awe anajishughulisha
VP unataka nikukopesheUna Mkopo wa elimu ya juu?
Jibu swali, unatafuta mume halafu unaleta ujuaji....VP unataka nikukopeshe
Umri nipo hapo hapo ila kwenye dini nshakosa mwenzangu nikutakie kila la kheirNaitwa Catherine natafuta mwenza sifa zangu!
-Umri 32
-Dini Mkristo
-Elimu Degree
-Kazi Mwajiriwa
-Sina mtoto
Natafuta mwenza mwenye sifa zifuatazo
Awe- Dini mkristo
-Umri 34-45
-Awe anajishughulisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yes lakini hili nataka nijuwe kabla sijamjua yeye! Unakuta mtu kachukuwa 100%, bum liliishia kununua vizawadi vya basidei na mitoko na mabebi wake mie sikuambulia hata senti.... leo kwenye malipo naonekana ni mtuhumiwa namba moja..... khaaaa yataka moyo