Natafuta mwenza (mwanamke)

Je huyo kwa avatar ni wewe..??

Wadogo zangu Depal na Darlin ule mwaka nadhani ni huu na Ile Ndoa nadhani tunayo,

Ahsante..!πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚
Dada!!
Fyucha hazband katupia T shirt lina simba. Kwanini lakini?
Ameshadisqualify 🀣
Naogopa, huyo mdudu atatoka kwa T shirt aning’ate.


Ahsante kwa kujali sisi wadogo zako masingle.
Ila naomba uendelee na mkakati wa kutusechia πŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ’ƒπŸ’ƒ
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mdogo wangu una hakika ni t-shirt tu ama ni hujaona funguo ya ndinga..??
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mdogo wangu una hakika ni t-shirt tu ama ni hujaona funguo ya ndinga..??
Na kwanini ameweka ndani AC
Mie nina aleji na vipulizo
🀣🀣
Ameongeza kupoteza point.

Gari siku hizi sio deal mjini
Muhimu hela za Uber zisikosekane πŸ˜‹πŸ₯°
 
Na kwanini ameweka ndani AC
Mie nina aleji na vipulizo
🀣🀣
Ameongeza kupoteza point.

Gari siku hizi sio deal mjini
Muhimu hela za Uber zisikosekane πŸ˜‹πŸ₯°
Ha ha haaaaaa
 
Nimefanya ka research kadogo,hizi nyuzi kwa wanaume wenzangu mara nyingi zinaanziaga Alhamisi mpaka Ijumaa jioni zinapotea,J.tatu mpka j.tano huzioni kabisa...
 
Nimefanya ka research kadogo,hizi nyuzi kwa wanaume wenzangu mara nyingi zinaanziaga Alhamisi mpaka Ijumaa jioni zinapotea,J.tatu mpka j.tano huzioni kabisa...
ingekuwa unavyomaanisha wewe, kusingekuwa na haja ya kuja hapa JF siku hzi wana site zao unaingia unachagua tu simu moja tu. ila mimi binafsi hayo sio masiha yangu nayoishi
 
Mi natafuta aliyetayari mahari mkononi yaani 😊😊😊 Mahari 50% niongezee mtaji huku tunaendelea na maongezi
biashara utaikuta Insta hukoo @dollrubii_decors atakaewezana aje tuyajenge
 
Ufupi tatizo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…