Natafuta mwenza mwanamume

Natafuta mwenza mwanamume

eldora

Senior Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
129
Reaction score
490
Mimi ni mwanamke 35yrs, watoto wawili, elimu yangu degree.

Natafuta mwenza wa maisha yaliyobaki duniani, nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana.

Ni wakati sasa natamani nipate mtu ambaye nitabebana naye katika maisha tuliyobakiza hapa duniani kwa upendo na kuvumiliana.

Awe tayari kupima afya
Umri kuanzia 40yrs mpaka 50
Mkiristo itapendeza zaidi
Awe kabila lolote kasoro Mkurya, Mjita!

Mimi ni mrefu, mnene kiasi na mweusi (chocolate colour).

Mwenye moyo mpweke anayehitaji mwenza na aliye serious karibu.

Naamini mapenzi ni popote pale mtakapo kutana.
 
Mimi ni mwanamke 35yrs, watoto wawili, elimu yangu degree.
Natafuta mwenza wa maisha yaliyobaki duniani, nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana.
Ni wakati sasa natamani nipate mtu ambaye nitabebana naye katika maisha tuliyobakiza hapa duniani kwa upendo na kuvumiliana.
Awe tayari kupima afya
Umri kuanzia 40yrs mpaka 50
Awe kabila lolote kasoro mkurya, mjita!
Mimi ni mrefu, mnene kiasi na mweusi (chocolate colour).
Mwenye moyo mpweke anayehitaji mwenza na aliye serious karibu.
Naamini mapenzi ni popote pale mtakapo kutana
Mungu akujalie umpate anayekufaa
 
Naimani yupo Mungu amanipangia na atanipa kwa wakati wake sahihi, 35 ni umri ambao bado mtu akipata mwenza wanaishi tu vizuri kuliko kuishi maisha ya usimbe na kuharibu ndoa za watu maana kwa vyovyote mahusiano yanakuwa ya kuingia na waume za watu unaishia kuvuruga ndoa ambayo ilikuwa na utulivu
Uko sahihi....wasichana wengi wanatembea na waume za watu hawataki ndoa zao.
 
Oooh! Wakurya sisi! Tumewakosea Nini mjini hapo? 😂 Kila la kheri aisee lakini katika yote, mkumbuke Baba watoto wako. Kila binadam hukosea na mnayo nafasi ya kurekebisha. Msiwe wabinafsi kupita kiasi na kuwanyima watoto uhuru wa kuwaona pamoja.
 
Back
Top Bottom