Mwezi wa kupanga mipango kedekede ikiwemo ndoa.Kuna nini hii January nyuzi nyingi ni wanaotafuta wenza?
Kila la kheri mamilooh
Me 34-37 ambaye hajaoa? Labda padri.
Yaani huyu bado ana miaka 10 tu ya kuchakatana. Maana akifikisha 45 ni menopause ambayo huwa inasitisha hamu na uwezo wa k kuchakatana.Hivi Kliniki mnashauriwa kuzaa na miaka mingapi au hata 70 sawa tu?
Yaani huyu bado ana miaka 10 tu ya kuchakatana. Maana akifikisha 45 ni menopause ambayo huwa inasitisha hamu na uwezo wa k kuchakatana.
Nenda RITA kaongeze MiakaMm niko hapa lakin umri nipo chini kidogo aseee nifikiliee