Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
acha uongo mkuumim ni midle man....
sio mimi mkuuNimependa hapo hutaki msabato wala mlokole!
sio mimi jamaniMiss Nimechoka kutafuta
Dah! nishakosa mke....Ahsante dada.kasema elfu kumi ya kula daily isikosekane
Namaanisha vigezo vote ninavyo Ila Nimechoka kutafuta.sio mimi jamani
uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
usiwe mlokole au msabato.
uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3
uwe tayari kwa hiv test
mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.
ngoja nikuunganishe naeNamaanisha vigezo vote ninavyo Ila Nimechoka kutafuta.
Nimependa ulivyo jiamin pamoja mtu kupewa namba pm itabidi ajipange haswa usije mpa namba ya beki tatu wako!!uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
usiwe mlokole au msabato.
uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3
uwe tayari kwa hiv test
mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.
mimi hutoniweza mkuuMimi nina vigezo vyote lakini sasa nakutaka wewe Miss Natafuta.