Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr una cheti fake au mganga Wa kienyeji wwNjoo PM
huyu sio middle Man Bali ndio muhusika soma jina lake utaelewaHakika Midle man umetisha sana
Ijumaa ya leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Magufuli endelea kukaza baba unatusaidia madomo zege sasa hivi tumekuwa lulu , tunatafutwa hahahaha
namba tatu hata mimi naikubaliuwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
usiwe mlokole au msabato.
uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3
uwe tayari kwa hiv test
mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.
Kwanini mkuu.Dr una cheti fake au mganga Wa kienyeji ww
mimi sio kuwadi ni kiunganishi"Middle man"?!! Kwani wewe wakiume?
Kwahiyo unakuwa kuwadi?
bado kidogobibie kila siku unatafutia wenzie, wewe lini
kuna wanaume wanaolewa piaEti
USIWE USHAWAHI KUOA/KUOLEWA.
Kweli Jf vituko haviishi
Tanzania hii hii ?kuna wanaume wanaolewa pia
Hapa tayari nimeshajiondoa...am 26 na sijaoa badouwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
Nimetimiza hapausiwe mlokole au msabato.
Mimi ni fundi Shoe Shineuwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
[emoji134] Nilijua ni wewe mkuu, ili nitume barua ya maombi.uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
usiwe mlokole au msabato.
uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3
uwe tayari kwa hiv test
mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.
kama unaitaji njoo pm
elezea
umri wako
dini
unapoishi
na matarajio yako kimaisha kwa ufupi
Hapo kwenye awe ameshawahi oa au olewa. Option ya kuolewa pia ipo? Isije kuwa njemba hii![emoji15]uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
usiwe mlokole au msabato.
uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3
uwe tayari kwa hiv test
mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.
kama unaitaji njoo pm
elezea
umri wako
dini
unapoishi
na matarajio yako kimaisha kwa ufupi
"... usiwe mlokole au msabato ... " bado najiuliza msabato anatatizo gani? Just curiosity cause I'm also an Adventistuwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
usiwe mlokole au msabato.
uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3
uwe tayari kwa hiv test
mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.
kama unaitaji njoo pm
elezea
umri wako
dini
unapoishi
na matarajio yako kimaisha kwa ufupi