Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
- #61
hataki kuwa msabato mkuu"... usiwe mlokole au msabato ... " bado najiuliza msabato anatatizo gani? Just curiosity cause I'm also an Adventist
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hataki kuwa msabato mkuu"... usiwe mlokole au msabato ... " bado najiuliza msabato anatatizo gani? Just curiosity cause I'm also an Adventist
haina shida mkuu si anakunywa hela yake?Mbona kila kona masharti na vigezo ni vigumu hivi jamani....BTW akiwa anapiga tungi vp? atafikiriwa
njoo pm ujibu maswali yakeMimi ni wako nipo umenipata usiangaike kutafuta tafadhli
uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
usiwe mlokole au msabato.
uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3
uwe tayari kwa hiv test
mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.
kama unaitaji njoo pm
elezea
umri wako
dini
unapoishi
na matarajio yako kimaisha kwa ufupi
HahahahahahhahahhhahaASIWE NA VYETI FAKE?
KWANI KUNA AJIRA?
oya mwana mbona hii namba ya manzi wanguMpe namba yangu 0657513636
kumbe anadanganyaoya mwana mbona hii namba ya manzi wangu
mkuu hujui pm kweli au una vyeti feki?Nimekupa namba ili tuwasiliane zaidi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usije ukakuta ni bashite huyumkuu hujui pm kweli au una vyeti feki?