Natafuta mwenza wa kiume

Natafuta mwenza wa kiume

Nimekuja mbio nkijua ni wewe miss natafuta!nifanye maombi!nimekwazikwa.
 
uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
usiwe mlokole au msabato.
uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3
uwe tayari kwa hiv test
mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.
namba tatu hata mimi naikubali
 
Duh!! Walio tayari kwa Interview nendeni PM.
Dah! 40-45!!!
Watu wazima wanakuja, kaa mkao wa kusubiria.
 
uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
Hapa tayari nimeshajiondoa...am 26 na sijaoa bado

usiwe mlokole au msabato.
Nimetimiza hapa

uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
Mimi ni fundi Shoe Shine

Halafu hapo kwenye Red sijaelewa
 
uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
usiwe mlokole au msabato.
uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3
uwe tayari kwa hiv test
mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.
kama unaitaji njoo pm
elezea
umri wako
dini
unapoishi

na matarajio yako kimaisha kwa ufupi
[emoji134] Nilijua ni wewe mkuu, ili nitume barua ya maombi.
 
uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
usiwe mlokole au msabato.
uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3
uwe tayari kwa hiv test
mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.
kama unaitaji njoo pm
elezea
umri wako
dini
unapoishi

na matarajio yako kimaisha kwa ufupi
Hapo kwenye awe ameshawahi oa au olewa. Option ya kuolewa pia ipo? Isije kuwa njemba hii![emoji15]
 
uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45
uwe tayari kwa familia
usiwe mlokole au msabato.
uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha
usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa popote
usiwe na vyeti feki
usiwe na watoto zaidi ya wawili maana muhusika anaitaji kuzaa 3
uwe tayari kwa hiv test
mimi ni midle man tu ila kila ombi litapewa kipaumbile litalifikisha kwa muhusika.
kama unaitaji njoo pm
elezea
umri wako
dini
unapoishi

na matarajio yako kimaisha kwa ufupi
"... usiwe mlokole au msabato ... " bado najiuliza msabato anatatizo gani? Just curiosity cause I'm also an Adventist
 
Back
Top Bottom